EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

CHADOMO NDIO ASILI YAO MKUU
 
Hapo siyo CDM nadhani ni masharti ya misaada tunayochukua kwao!
Wajifunze kutokuwa tegemezi kwa kila kitu. Hali ya haki za binadamu na demokrasia Rwanda ni mbaya; hatusikii wakimkoromea Kagame.

CCM angalieni, msipokuwa makini 2025 utakuwa ndio mwisho wenu kutawala nchi hii.
 

Abarikiwe sana mzungu. Tena aongeze mbinyo zaidi. Kwenye hili la Mbowe mmeingia cha kike fully charged.

Kwenye hili la haki, usawa, uhuru na demokrasia tuko wengi mno tunaosimama na EU.

Mahakama ipi unayoiongelea wewe? Hii isiyotaka kuhakiki nyendo za kina Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck na Msemwa almaarufu kama wasiojulikana?

Mahakama inayosema Adamoo alikamatwa kwa mujibu wa sheria na akatoa maelezo yake kwa ridhaa yake pasipokuwa na shinikizo lolote?

Mahakama ipi unayoiongelea wewe? Hii iliyo na hukumu za kubambika kwenye kesi za kubambika?

Safi sana Tundu Lissu, Godbless Lema na wana harakati wote.

Na bado!

Barikiwa sana wazungu. Mnao utu kuliko ndugu zetu wa damu wanaoratibu na kutekeleza haya:

 
Am telling you kwa Ujinga huu hamfiki mbali nyie jamaa,

Kweli Tanzania ya Samia hakuna demokeasia? Serious!!!!??

Kama demokrasia ipo si waruhusu hata mikutano ya ndani?

Kama demokrasia ipo waacheni wapinzani nao wawe na mikutano ya hadhara kama wafanyavyo ccm, uwoga wann?

intelijensia badala ya kudeal na uchumi, rasilimali za nchi, ushindani wa soko na viwanda kama wafanyavyo kenya tu jirani yetu, nyie kutwa kucha mnakimbizana na wapinzani.

wapinzani ni watanzania only wana hoja na mtazamo tofauti, ila ni tishio kwa wenye mamlaka na madaraka.
 
Tanzania ni donor country... wakati inatembeza bakuli na kunuka madeni...🚮🚮🚮🚮
 

 




 
CCM wanapenda sana kuidharau hii Kamati ya Bunge la ulaya EU - mambo ya nje - haya nyie endeleeni tu hivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…