EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

...Kwanza kabisa naomba usimfananishe Mbowe na taka za chooni aka Sabaya jambazi,hawa wawili ni anga na ardhi.

...Elewa hakuna uhuru usio na mipaka,Tanzania iko duniani na haina sayari yake ivyo lazima sisi kama nchi ni lazima tutii taratibu za dunia hasa haki za binadamu. Sisi sio kisiwa.

...Wazalendo wa kweli kama Tundu Lissu kutusemea uko nje sisi tunaoteswa na haya mashetani tuliyoyafuga wenyewe sio kuchafua taifa bali kuliponya,Nyerere aliitangazia dunia tulipokuwa tunanyanyaswa na wakoloni ndio maana tulipata uhuru.

...Uhuru wa kweli dhidi ya mkoloni mweusi utapatikana leo hii kwa kuielezea dunia uovu wa mkoloni mweusi,najua wanyampala wa mkoloni mweusi hampendi uhuru huu upatikane ila nakuhakikishieni soon tutaupata.
 
CHADOMO HAMIENI BASI NA NYINYI EU
 
Eti EU haijali demokrasia Africa! Demokrasia gabi iko Tanzania? Unajua maana ya demokrasia wewe?
 
Hebu tuambie maana ya Uzalendo
 
Tutasimamia sheria na taratibu tulizojiwekea kwa gharama zote.

Kama MWANACCM SABAYA YUKO JELA MBOWE NI NANI MBELE YA SHERIA?
Sabaya alikuwa jambazi na kila mmoja anajua hata huyo mtoto wako wa mwisho anafahamu

Na kila raia aliyepata sulubu amethibitisha.

Kwa mbowe ukitoa hawo mashahid wa kuchongwa ambao ushahidi wenyewe unatofautiana tutajie raia wanaomlalamikia kwamba mbowe ameumiza watu Kwa ugaidi wake.

Hebu oneni aibu ndugu.

Wewe ndiye mtekaji,ndiye mfungua kesi,ndiye shahidi, ndiye mpigaji kwasbaabu Mbowe anamtazamo tofauti na ccm sasa utaaminika vipi.
 
Acheni mahakama itoe uamuzi,
 
Hebu tuambie maana ya Uzalendo
Kwa kifupi sana uzalendo ni kuipenda nchi yako.

Huwezi kusema unaipenda nchi yako uku unafumbia macho maovu yanayofanywa na kikundi cha watu wachache kinachoua,kutesa na kuonea raia wake,kilichojaa rushwa,dhulam nk

Tetea nchi yako kwa kutetea maslahi ya wengi na hasa ya taifa na sio kutetea kikundi cha waovu na kupata ugali wa siku,Mandela na Nyerere wanakumbukwa na wengi kwa ajili hii sio wachache.
 

Sio tu nchi yako mkuu, Na Rais wako pale anapostahili
 
Hebu tuambie maana ya Uzalendo
Kwa kifupi Uzalendo ni kuipenda nchi yako...

Ivyo kama unaipenda nchi yako huwezi kukaa kimya dhidi ya rushwa,uonevu,uuaji na utesaji unaofanywa na kikundi cha wachache dhidi ya walio wengi. Lazima utawapigania kwa gharama kubwa.

Ndivyo walivyofanya Nyerere na Mandela na dunia inawaheshimu na kuwaenzi kwa hili.

Kutetea kundi la waovu wachache ili kukidhi haja za tumbo lako ni usaliti kwa nchi na ni kinyume kabisa na uzalendo.
 
Chadema ni jamii Frani ya nyoka yenye vichwa viwili ,hawangalii madhara yanayoweza kuwapata Watanzania hasa WA kipato cha chini, wao ni kubwatuka tu. Wanasheria Bora na wabobezi Wapo chadema Sasa wanaogopa nini, kesi IPO Mahakama pambaneni vidume
Akili za lumumba umaskini umekaa hadi kwenye bongo zao ona sasa huyu
 
Najaribu kuwaeleza wengi kuwa duniani imesonga mbele hatua moja. Siku hizi huwezi kujitetea kuwa nchi iko huru huku unavunja haki za binadamu. Tangu mauaji ya Rwanda dunia imejifunza kuwa kutojali uvunjaji wa haki za binadamu mwisho wake ni mauaji makubwa, machafuko, a failed state na wakimbizi kukimbilia nchi zenye demokrasia. Tangu hapo ikawa uhuru wa nchi haujalishi kama kiongozi anavunja misingi ya haki za binadamu, demokrasia. Soma Koffi Anan 'The right of intervention'.
Sasa hapa Tanzania nyie endeleeni na ushenzi tu badala ya kujifunza ustaarabu. Wengine tutakuwa wa mwanzo kuunga mkono uingiliaji kati. Kama hatuwezi kujitawala kwa ustaarabu acha tupate msaada wa waliostaarabika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…