EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Chadema katu haiwezi kufa kibudu bro, mwambie hangaya aruhusu mikutano ndio utajua imekufa au ipo hai alishindwa yule baradhuri watakuwa hawa wengine??endeleeni kuiogopa katiba mpya kama ukoma ikipatikana mmeisha.
Mbona CHADEMA Digital inafeli kuna nini?
 
Wewe sio kiwakilishi cha kila mtanzania na usitumie tena “sisi” katika tungo zako. Angalau huniwalilishi mimi. Mimi ninapinga EU kutaka kuingilia mambo yetu, lakini pia sio sahihi kuonea watu. Na kama wewe utatumika kunyamazisha watu wasipinge uonevu, basi nitakuwa upande wa yule anayeweza kupaza sauti!!

Civic space imepungua katika nchi hii.
Kipi kimepungua kwa dhati ya moyo wako
 
CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,

Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Chama limekufa kibudu wakati hampati hata lepe la usingizi, ndio kifo gani? Mmemdanganya mama anaropoka Mbowe gaidi wakati hamjui madhara yake. Na kuthibitisha mmeshindwa na mashahidi, mawakili na jaji wenu wa michongo.
 
Nadhani hata wewe ni mpumbafu kidogo, Leo Lengai Ole Sabaya kada wa CCM yuko wapi?
Kila mhimili upo kiutashi wa mtu,ndio maana Sabaya kahukumiwa.
Ni utashi wa awamu ya 5 ilimuamuru afanye.
Ni utashi wa awamu ya 6 afunguliwe mashitaka.Same Government.
Magufuli angekuwa hai Utashi wake ungemfanya Sabaya RC wa Dar.
 
Chama limekufa kibudu wakati hampati hata lepe la usingizi, ndio kifo gani? Mmemdanganya mama anaropoka Mbowe gaidi wakati hamjui madhara yake. Na kuthibitisha mmeshindwa na mashahidi, mawakili na jaji wenu wa michongo.
Hebu tuambie kuhusu CHADEMA Digital Mkuu, Kipi kimeikwamisha?
 
Kila mhimili upo kiutashi wa mtu,ndio maana Sabaya kahukumiwa.
Ni utashi wa awamu ya 5 ilimuamuru afanye.
Ni utashi wa awamu ya 6 afunguliwe mashitaka.Same Government.
Magufuli angekuwa hai Utashi wake ungemfanya Sabaya RC wa Dar.
Haya maneno yako yanaushahidi wowote mkuu au nadharia tu?
 
We ni mpumbavu, mnaumiza watu kwa kujua hakuna cha kuwafanya, huyo mama yenu anaharibu nchi zaidi,anaendeleza alipoishia dikteta Magufuli.

Mbeya na Songwe kuna wanachadema zaidi ya 60 wapo magereza kwa kesi za mauaji toka siku ya uchaguzi,na mtu au watu waliowaua hawajulikani.

Mnadhani nchi yenu hii mbwa nyie.

Kuliko kuendelea kuishi kama watumwa katika nchi yeru,urithi wetu na ardhi yetu ni BORA TUKOSE WOTE.

TUMEANDIKA BARUA ZAIDI YA MARA MBILI KUOMBA KUKUTANA NA SAMIA KUMALIZA VUGUVUGU LA MATESO,MNAISHIA KUTUPA KESI YA UGAIDI NA KUTUTESA .

F..UCK YOU,MBWA WEWE.
 
Mpuuzi wewe vitu vinapanda wewe hata hujui sababu unaishi kwa dada ako
Unazungumzia vitu gani anavyovijua vimepanda bei wakati anakaa kwa dada yake? Ni shemeji yangu tunaye hapa nyumbani limenenepeana tu linajifanya litiifu hapa home. Halafu anakuja humu kujifanya critical thinker.
 
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke
Hivi serikali ya tanzania kwenda kutembeza bakuli huko EU, haijui kuwa yenyewe ni free state inayotakiwa kujitegemea?
 


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229
Haohao unaosema Tanzania ni Free state wasikuingilie juzi wanekupa mkopo wa kujenga vyumba vya madarasa .Kama Haupo vizuri kiuchumi hauwezi kusema upo huru huko ni kunidanganya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni mpumbavu, mnaumiza watu kwa kujua hakuna cha kuwafanya, huyo mama yenu anaharibu nchi zaidi,anaendeleza alipoishia dikteta Magufuli.

Mbeya na Songwe kuna wanachadema zaidi ya 60 wapo magereza kwa kesi za mauaji toka siku ya uchaguzi,na mtu au watu waliowaua hawajulikani.

Mnadhani nchi yenu hii mbwa nyie.

Kuliko kuendelea kuishi kama watumwa katika nchi yeru,urithi wetu na ardhi yetu ni BORA TUKOSE WOTE.

TUMEANDIKA BARUA ZAIDI YA MARA MBILI KUOMBA KUKUTANA NA SAMIA KUMALIZA VUGUVUGU LA MATESO,MNAISHIA KUTUPA KESI YA UGAIDI NA KUTUTESA .

F..UCK YOU,MBWA WEWE.
Daaah CHADOMO ni janga la Taifa, Ndio maana wanachama wenu wote Wamewakimbi
 
EU haina ubavu kwa kulazimisha mahakama za Tanzania ziamue wanavyotaka wao.Wameshindwa kwa mwanachama wao tokea 2004 Hungary.
Kesi ipo mahakamani,mahakama iamue kama Mwenyekiti Mbowe ana hatia au ni innocent. Kama watu wanajua hatima ya hii kesi basi kusingekuwa na haja ya upande wa utetezi.
Kujipa matumaini kwamba EU kwa kupitia mjumbe mmoja kutoa maoni yake ni kuwa naive.Wametoa matamko kuhusu Rwanda na Belarus kila mara na hakuna kinachobadilika.
Hungary wana violate human rights kila siku na ni mwanachama wa EU.Na hakuna linalofanyika.
Hii kesi itafikia mwisho.
 
Unazungumzia vitu gani anavyovijua vimepanda bei wakati anakaa kwa dada yake? Ni shemeji yangu tunaye hapa nyumbani limenenepeana tu linajifanya litiifu hapa home. Halafu anakuja humu kujifanya critical thinker.
Hahahha sawa hata kwa Shemeji ni kambi ila Uzalendo kwa nchi yangu ni muhimu sana
 
EU haina ubavu kwa kulazimisha mahakama za Tanzania ziamue wanavyotaka wao.Wameshindwa kwa mwanachama wao tokea 2004 Hungary.
Kesi ipo mahakamani,mahakama iamue kama Mwenyekiti Mbowe ana hatia au ni innocent. Kama watu wanajua hatima ya hii kesi basi kusingekuwa na haja ya upande wa utetezi.
Kujipa matumaini kwamba EU kwa kupitia mjumbe mmoja kutoa maoni yake ni kuwa naive.Wametoa matamko kuhusu Rwanda na Belarus kila mara na hakuna kinachobadilika.
Hungary wana violate human rights kila siku na ni mwanachama wa EU.Na hakuna linalofanyika.
Hii kesi itafikia mwisho.
Umeandika vizuri sana Mwanadiplomasia
 
Chamadema ni watu wasiojali masilahi ya nchi hata kidogo pacha,

Leo Lissu anafanya nini Ubelgiji wakati Magufuli aliyetuaminisha alitaka kumuua alishakufa?

Leo Lemma anatafuta nini Canada?

Leo Wenje anatafuta nini Ulaya?

Leo Ngurumo anatafuta nini huko?


Watanzania tugutuke
wapo wanaishi uko baada ya kutishiwa vifo na watawala wenu
 
Mpuuzi wewe kila siku mnaenda kuomba misaada mbona hamsemi kama Tanzania ni nchi huru ijitengemee? acha wazungu watusaidie kunyoosha hawa watawala makatili wasiofaa mbele za MUNGU.
CHADOMO MKO JUU SANA KWA MATUSI
 
Back
Top Bottom