EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

Najaribu kuwaeleza wengi kuwa duniani imesonga mbele hatua moja. Siku hizi huwezi kujitetea kuwa nchi iko huru huku unavunja haki za binadamu. Tangu mauaji ya Rwanda dunia imejifunza kuwa kutojali uvunjaji wa haki za binadamu mwisho wake ni mauaji makubwa, machafuko, a failed state na wakimbizi kukimbilia nchi zenye demokrasia. Tangu hapo ikawa uhuru wa nchi haujalishi kama kiongozi anavunja misingi ya haki za binadamu, demokrasia. Soma Koffi Anan 'The right of intervention'.
Sasa hapa Tanzania nyie endeleeni na ushenzi tu badala ya kujifunza ustaarabu. Wengine tutakuwa wa mwanzo kuunga mkono uingiliaji kati. Kama hatuwezi kujitawala kwa ustaarabu acha tupate msaada wa waliostaarabika!
Tanzania nchi ya pili Africa kwa Uhuru wa kutoa maoni unajua?
 
Kwa kifupi Uzalendo ni kuipenda nchi yako...

Ivyo kama unaipenda nchi yako huwezi kukaa kimya dhidi ya rushwa,uonevu,uuaji na utesaji unaofanywa na kikundi cha wachache dhidi ya walio wengi. Lazima utawapigania kwa gharama kubwa.

Ndivyo walivyofanya Nyerere na Mandela na dunia inawaheshimu na kuwaenzi kwa hili.

Kutetea kundi la waovu wachache ili kukidhi haja za tumbo lako ni usaliti kwa nchi na ni kinyume kabisa na uzalendo.
Hata pale inaposemwa vibaya lazima uitete
 
Hata pale inaposemwa vibaya lazima uitete
Kama unasemwa vibaya basi wewe ni mbaya ivyo dawa ni kujirekebisha sio kutetewa.

Yaani mtoto ni mwizi na majirani wanakuambia ni mwizi wewe unaona vibaya na unamtetea mtoto!?

Wewe sio mzazi halisi.
 
Kama unasemwa vibaya basi wewe ni mbaya ivyo dawa ni kujirekebisha sio kutetewa.

Yaani mtoto ni mwizi na majirani wanakuambia ni mwizi wewe unaona vibaya na unamtetea mtoto!?

Wewe sio mzazi halisi.
Unataka kusema Lissu ni Mzalendo?
 
Sikatai. Kuna watu wana uhuru wa kutoa maoni, kama wewe. Jaribu kuwaambia Chadema!
Kwa Tanzania kuwa nchi ya pili kwa uhuru wa maoni Afrika sio hoja maana unaweza kutoa maoni ya ngono tu na mambo mengine ya kawaida sio uhuru wa kuikosoa serikali.

Kuongoza ktk darasa la wajinga hakukuondolei ujinga
 
Kwa Tanzania kuwa nchi ya pili kwa uhuru wa maoni Afrika sio hoja maana unaweza kutoa maoni ya ngono tu na mambo mengine ya kawaida sio uhuru wa kuikosoa serikali.

Kuongoza ktk darasa la wajinga hakukuondolei ujinga
Daaah wewe kiboko
 


Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa

Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu

Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua

Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,

Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?

CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?

CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?

Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya

Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi

Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia

Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe

Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?

Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania

Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?

Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?

CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii

Mnatuumiza sana sisi watu wa chini

Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu

Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers

Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu

Plze Brothers & Sisters STOP IT

WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.

Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe



View attachment 2030228

View attachment 2030229


Live

2 December 2021

EU Parliament on Mbowe's terrorism charges


Article 8 focusing on Tanzania commitment to work together with the European Union to address various issues that were previously raised and brought great concern to the international community. Political change in Tanzania to bring peace, security and stability, the EU has engaged Tanzania into dialogues that put priority areas like good governance that include promotion of human rights and democracy....


Source : Committee on Foreign Affairs

Recorded on
01 December 2021, 13:45 - 15:00

Committee on Foreign Affairs​


c.c Moderator Jamiiforums ibandishe juu


Previously in year 2020

19 Nov 2020

Magufuli has dismantled Tanzanian democracy - European MPs

Members of European Parliament have criticised Tanzanian government under President John Magufuli for dismantling the little democratic gains the country has had.

 
CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,

Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Chama kinachokufa kinakatazwa hata kufanya vikao vya ndani?
Waliokuwa wanachama wake waliingia kwa nguvu bungeni . Wale 19?
Hahaha kinatoa wakuu wa wilaya, mikoa, mawazir, manaibu nk
 
Chama kinachokufa kinakatazwa hata kufanya vikao vya ndani?
Waliokuwa wanachama wake waliingia kwa nguvu bungeni . Wale 19?
Hahaha kinatoa wakuu wa wilaya, mikoa, mawazir, manaibu nk
Kikao gani cha ndani mmekatazwa
 
Hujui? Hujui kwamba kuna OCD huko kasema kuna tishio la ugaidi? Huwezi kujua kwakuwa ccm inafanya itakavyo.
Ila mungu fundi sana
OCD mmoja katika Wilaya 139 anaweza kujustfy hiyo hoja yako?
 
Back
Top Bottom