Cr7 atatoboa,,portugal wananjitaidi kucheza na babu yao huyu,,wanamchezesha vizuri ndio maana games nyingi portugal anscore kuliko club maana uchezaji wa juve haumpi nafasi,,
Cr7 atatoboa,,portugal wananjitaidi kucheza na babu yao huyu,,wanamchezesha vizuri ndio maana games nyingi portugal anscore kuliko club maana uchezaji wa juve haumpi nafasi,,
Kusema kweli babu CR7 anawanyanyasa sana vijana!!! Bila shaka kwenye kombe la mwakani 2022 atafunika pia. Babu anafukuzia kiatu cha dhahabu wakati vijana wanang'ang'a macho tu!! Ila babu mwenza huko copa amerika mambo si mazuri sana!