DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Hawa jamaa wanakaba Ni kichomi[emoji4]Ila hawa mababu wa Italy wanajua kukaba nyieeee
Check izo clean sheets Kwenye previous match[emoji116]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanakaba Ni kichomi[emoji4]Ila hawa mababu wa Italy wanajua kukaba nyieeee
Italy siwapendi, ila wananikosha[emoji2]Kaka, wanajua nn wanatakiwa kufanya kwa wakati sahihi.
Karibu chama wa wandewa Italy wana Azzurri
Uyu kipa ndiye anaeongoza kwa cleansheet Kwenye hii michuano[emoji116]Hizi saves mbili za golikipa wa Italy ndio zimeamua mechi, Fantastic saves
Umeongea kishabikiItaly hawana timu nzuri pia, wanaweza kupoteza hili game kabisa, ngoja Martinez afanye sub nzuri aingie Carasco,Mertens au Chadli
Timu ya Italy bado ni nyepesi sana na Vermaelen atolewe amefanya mistakes nyingi
Sana[emoji2][emoji2][emoji2] waitaliano Ni nuksi
NakubaliHawa jamaa wanakaba Ni kichomi[emoji4]
Check izo clean sheets Kwenye previous match[emoji116]View attachment 1838202
Belgium aliponea chupuchupu kwa Portugal.Italy hawana timu nzuri pia, wanaweza kupoteza hili game kabisa, ngoja Martinez afanye sub nzuri aingie Carasco,Mertens au Chadli
Timu ya Italy bado ni nyepesi sana na Vermaelen atolewe amefanya mistakes nyingi
Wakiendelea hivi wana nafas kubwa kufika fainalN
Nakubali
Belgiji wanampira laini Kama waspain, Italy wanacheza soka la KAZI lenye malengoBelgium aliponea chupuchupu kwa Portugal.
Belgium ina majina makubwa ila team work zero.
Italy wachezaji wengi siyo majina makubwa ila team work 100%
Play store inaitwa allfootballMsaada wa kupata hizi gif za magoli kwa haraka.. ni app inatumka au?
Naunga mkono hojaWakiendelea hivi wana nafas kubwa kufika fainal
Wanywaji wa divai wanamgegeda huku.Belgium [emoji1045] anabeba kilaini hii Euro