Bonge la talentDoku huyu dogo ana kitu.
Sielewi kabisa mnaposema Belgium ina kizazi cha dhahabu mkuu, au Mimi sijuhi kizazi cha dhahabu ni nini? yaani akina chadli, Lukaku, witsel n.k ndiyo kikazi cha dhahabu.Belgium waspokuwa makini hiki kizazi cha dhahabu kitaisha bila taji lolote kubwa
Hata hiyo kuwa ranked namba moja siwaoni hivyo...Sielewi kabisa mnaposema Belgium ina kizazi cha dhahabu mkuu, au Mimi sijuhi kizazi cha dhahabu ni nini? yaani akina chadli, Lukaku, witsel n.k ndiyo kikazi cha dhahabu.
Bado najiuliza hii team inashikaje nafasi ya Kwanza kwenye FIFA rankingHata hiyo kuwa ranked namba moja siwaoni hivyo...
Hakuna kizazi cha dhahabu pale, wako overrated sana!!
Huyu Doku ni hatari, achelewi kumvunja beki nyonga aisee huyu[emoji91]Doku huyu dogo ana kitu.
Huwezi kukubali japo macho yanaona. Italy wanacheza mpira unaonekana kwa macho kabisa lakini unasema sio timu nzuri. Kuna watu walisema hivyo hivyo Italy ni mbovu ila wanaonekana wazuri kwasababu wamepangwa na timu mbovu ngoja akutane na Ufaransa. Cha ajabu timu hiyo hiyo iliyokuwa kundi moja na Italy ndio iliyomtoa Ufaransa. Tukubali tu kwasasa Waitaliano wapo vizuri sana. Hata falsafa yao imebadilika kutoka kwenye mpira wao wa kuwa wanyonge wa kusubiri mashambulizi mpaka kucheza mpira buradani.Italy hawana timu nzuri pia, wanaweza kupoteza hili game kabisa, ngoja Martinez afanye sub nzuri aingie Carasco,Mertens au Chadli
Timu ya Italy bado ni nyepesi sana na Vermaelen atolewe amefanya mistakes nyingi