Wewe kama na nani unaongea hivyo😂😂😂Nimefurahi sana Spain kutoka, ila kwa bahati mbaya Italy hawatachukua hii ndoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
England anakwenda kubeba ndoo..
Mapema tu.Watu tunaangalia ushindi ...tukutane fainal ndo tutajuana zaidi
Labda nkupe habari tuu kesho England anapigwa kwao
mmmm mkuu chamdomo kesho anaweza kumpinga DenmarkNarudisha mkeka wangu nyuma ya mlango hadi baadae tenaView attachment 1844017
Hapo mwisho weka DENMARK.Narudisha mkeka wangu nyuma ya mlango hadi baadae tenaView attachment 1844017
Atapita vizuri tu kesho tukutane hapa!!Kesho hapiti😂
Wee jamaa fundi Sana, utakua na undugu na mzee mpili[emoji4]Narudisha mkeka wangu nyuma ya mlango hadi baadae tenaView attachment 1844017
England kesho anashinda mapema tu.Nimefurah team zote ambazo sizipendi zimeshatoka
Germany
Beligium
Spain
Kwenye hii euro nlimpa
Portugal
Au
Netherland
Kwa bahati mbaya mapema tuu wakatoka [emoji2][emoji2][emoji2]
Hapo final Nampa Italy....
England kesho atalia na kusaga meno uwanja wa nyumbani