Tutakuwepo hapahapa kushuhudia Mwingereza akitoka katika ardhi ya nyumbaniAtapita vizuri tu kesho tukutane hapa!!
Sioni anapopita England kwa Denmark.England kesho anashinda mapema tu.
Utabiri huu bado unasimama?Narudisha mkeka wangu nyuma ya mlango hadi baadae tenaView attachment 1844017
Kabla ya uingereza kupoteza mechi wajitahidi wapinzani hata kufunga goli kwanza. Haiwezekani hadi nusu timu haijaruhusu Goli.
Pweza kama Pweza..My prediction
1-1..
Italy to win by penalt shootouts.
Kama niliwahi kuchungulia safari fupi ya France, Portugal na Germany na kuipa nafasi kubwa Denmark kuchukua ndoo hata kabla haijaingia robo fainali.Wewe kama na nani unaongea hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
🔥🔥🔥🔥🔥
Ana nuksi nini? KhaaaahMorata nilijua atakosa...
Afu Ollachuga anajiita Doha City, poa tukutane hapa keshoKama niliwahi kuchungulia safari fupi ya France, Portugal na Germany na kuipa nafasi kubwa Denmark kuchukua ndoo hata kabla haijaingia robo fainali.
Tukutane kesho, maana kwenye huu uzi mashabiki wa Denmark ni wawili tu, mimi Mac Alpho na @Ollachuga [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nasimama na Colombia ....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji110]Yamebaki masaa mawili huko Copa America kabla ya Messi na Argentina yake kuingia Fainali
Daaah Ureno mna taabu sana😂😂😂Hapa nasimama na Colombia ....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji110]
Nampa [emoji817][emoji110]