Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #3,361
Naunga mkono hojaHakuna play maker
Sijui mkuu nipo kwa bepari mpaka mwezi wa nane.Unaipataje? Streaming au?
DK mkuu
Mkuu sasa ulitaka Dybala afanye nini na ameachwa kwenye kikosi cha timu?
Dah mzigo unaenda xtra tym. Chamdomo bhana. Sasa tutalala aaa 7 usiku aaarrgghhh
Vichezaji vyote ni vitoto hakuna wazoefu,Timu kama Italy itawafinya Sana Hawa.Huu uchezaji ndio umewatoa Spain ,unachezea Sana mpira ila huna mbinu za magoliHakuna play maker
Inachoshaga sana aiseeJmn si afungwe mtu tukalale
Dk120 nakua hoves mbayaa
Qmmk England mmeondoka na laki yangu, Denmark toa hao mbwaaa!!!
England eeehKuna timu itafungwa afu utasikia eti mpira tulocheza ila hatukuwa na bahati, upumbavu
Nishaanza kusinzia
Anapoteza mipira hovyo mbwa huyo,yeye na kocha kashindwa kuifanya timu ipate magoli,wanawatesa mabeki akina MagwaireKane anapambana sana