Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Kwamba Kane sio Forward mzoefu? Ukimtoa Ronaldo hakuna Striker zaidi ya Kane Euro Hizi.Shida ya England hakuna fowadi wazoefu pindi mbinu za kawaida zikishindwa ndio maana unaona hawana jipya licha ya kufika kwenye box mara nyingi zaidi.
ITV SPORT HD.
[emoji28][emoji28]Sisi Warumi a.k.a Wagalatia a.k.a wandewa a.k.a Wana Azzurri a.k.a Italian job tunamsubili yeyote
Kipa wa Denmark aliulizwa unatasikiaje endapo wakiwashinda England na kuzima kauli yao(coming home), alijibu hiviWaliichukulia poa sana Denmark.. Ona tabu wanayoipata
Timu ipo nusu fainali unaidharau vp?
Kwa hiyo wameishiwa mbinu? Si ndio maana nimesema Kane na Kocha wameshindwa kuifanya timu ipate magoliKwamba Kane sio Forward mzoefu? Ukimtoa Ronaldo hakuna Striker zaidi ya Kane Euro Hizi.
Ni kwamba tu England wanacheza na wakabaji wengi ndio maana hawafungi magoli mengi.
For sure.. wanasemaje Home wakati hawajawahi kushinda hata mara mojaKipa wa Denmark aliulizwa unatasikiaje endapo wakiwashinda England na kuzima kauli yao(coming home), alijibu hiviView attachment 1845298
Hawajaishiwa mbinu, Bali hio ndio mbinu ya kocha, ku defend kwanza kufunga baadae ndio maana unaona kuanzia no 10 mpaka midfield wote ni wakabaji.Kwa hiyo wameishiwa mbinu? Si ndio maana nimesema Kane na Kocha wameshindwa kuifanya timu ipate magoli
Uingereza wanashinda hii mechi…
Endelea kujifariji ,wamepachikwa na Denmark huku goli lenu ni msaada wa kujifungaHawajaishiwa mbinu, Bali hio ndio mbinu ya kocha, ku defend kwanza kufunga baadae ndio maana unaona kuanzia no 10 mpaka midfield wote ni wakabaji.
Ndio maana uingereza Hawaja Concede open play goal mpaka sasa hivi, japo Wana kipa shati.
Kuzuia pia ni kuchezaDenmark naona wanaruka ruka tu sasa! Hawana mwelekeo [emoji1787]