Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Shida ya England hakuna fowadi wazoefu pindi mbinu za kawaida zikishindwa ndio maana unaona hawana jipya licha ya kufika kwenye box mara nyingi zaidi.
Kwamba Kane sio Forward mzoefu? Ukimtoa Ronaldo hakuna Striker zaidi ya Kane Euro Hizi.

Ni kwamba tu England wanacheza na wakabaji wengi ndio maana hawafungi magoli mengi.
 
Waliichukulia poa sana Denmark.. Ona tabu wanayoipata

Timu ipo nusu fainali unaidharau vp?
Kipa wa Denmark aliulizwa unatasikiaje endapo wakiwashinda England na kuzima kauli yao(coming home), alijibu hivi
IMG_20210707_235922_280.jpg
 
Kwamba Kane sio Forward mzoefu? Ukimtoa Ronaldo hakuna Striker zaidi ya Kane Euro Hizi.

Ni kwamba tu England wanacheza na wakabaji wengi ndio maana hawafungi magoli mengi.
Kwa hiyo wameishiwa mbinu? Si ndio maana nimesema Kane na Kocha wameshindwa kuifanya timu ipate magoli
 
Kwa hiyo wameishiwa mbinu? Si ndio maana nimesema Kane na Kocha wameshindwa kuifanya timu ipate magoli
Hawajaishiwa mbinu, Bali hio ndio mbinu ya kocha, ku defend kwanza kufunga baadae ndio maana unaona kuanzia no 10 mpaka midfield wote ni wakabaji.

Ndio maana uingereza Hawaja Concede open play goal mpaka sasa hivi, japo Wana kipa shati.
 
Hawajaishiwa mbinu, Bali hio ndio mbinu ya kocha, ku defend kwanza kufunga baadae ndio maana unaona kuanzia no 10 mpaka midfield wote ni wakabaji.

Ndio maana uingereza Hawaja Concede open play goal mpaka sasa hivi, japo Wana kipa shati.
Endelea kujifariji ,wamepachikwa na Denmark huku goli lenu ni msaada wa kujifunga
 
Back
Top Bottom