Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Rome or Home?It is COMING HOME hata kama kwa kuchelewa.
#linakwenda Rome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rome or Home?It is COMING HOME hata kama kwa kuchelewa.
HahahahaaaEngland wanavaa nyeupe na nyekundu Kama Simba ,ila mpira wanaocheza haufanani kabisa na biriani ya Simba ,tumewashtukia Hawa ni coastal union
TuwapuuzeHahahahaaa
Home!. Nishalewa!Rome or Home?
#linakwenda Rome
Mzee wng..BJORN KUIPERS hanaga masiara faulo za kawaida uwa hatk kbs kusikia anaendeleza game tu.Refa wa leo nimemuelewa sana. Kweli jama anaijua fainali.
Hakuna kuleta ulelemama. Anapeta tu.
Utajua hujui.Home!. Nishalewa!
Sasa umeniquote ya nini kama linakwenda Rome? Shindwaa!.
Kishandu
Tukishinda pia usisahau kunitag.Utajua hujui.
Hata usingepita nilikuwa nasubiri game liishe England afail nikutag 😂
Kati ya nyie na italy nan ana historia mbya na matuta..of coz penalty ni bht pia lkn England matuta ndo wa ovyo na wana gundu inajulikana kbsItaly watufunge ndani ya extra time la sivyo hatoamini kwenye matuta