babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
England kwenye penalti ni watupu sana!!England ni timu nzuri sana kwenye matuta usije poteana mkuu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
England kwenye penalti ni watupu sana!!England ni timu nzuri sana kwenye matuta usije poteana mkuu.....
Hiyo historia leo inabadilika!.Historia ya England kwenye penalti ni mbaya, labda waibadilishe leo.
Ndo kama hivyo.Wine ya Italy inanimbia Kane atakosa penati.
Nilisema 👆🏼👆🏼👆🏼Belotti kama atakosa