StartimesUkiondoa Dstv, hivi hii michuano inarushwa kwenye king'amuzi gani (package ipi) hapa Tz?
Hivi kwani kila kundi linatakiwa kutoa best looser mmoja?HT
#SUI 2-0 #TUR
#ITA 1-0 #WAL
Matokeo yakibaki hivi hivi Uswizi na Wales wanafuzu
Kuna nafasi ya best loserPortugal na Hungary wanaondoka.
Kwa ujumla nafasi za best losers zipo 4, kwa hiyo ni juhudi ya kila timu inayosuasua kupambania hizo nafasiHivi kwani kila kundi linatakiwa kutoa best looser mmoja?
Naona kama Wales wanakuwa hawajafuzu bali watakuwa wanasubiri nafasi za best loosers
Asante sana.Startimes
Dish sh elfu ishirini na Antenna sh elfu 15 kwa mwezi
Asante Roberto Manchini...
Italy imani yangu kwenu mmeitendea haki.
Nawatakia heri ktk hatua ya mtoano.
Najua huku sio ubora tu,pia bahati inahusika.
Ila wakati huu bahati ipo upande wenu...ukiongeza na ubora wenu..
Seeing u lfting the trophy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1628][emoji1628][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji471]
waniniusiishie kupongeza tu ila angalia aina ya wapinzani alikutana nao katika group lake..all in all,
round inayofuata inakuja kuchuja
Italy atakutana na Ukraine au Austria katika 16 bora, hapo matumaini ya kusonga mbele ni makubwausiishie kupongeza tu ila angalia aina ya wapinzani alikutana nao katika group lake..all in all,
round inayofuata inakuja kuchuja
Ni kweli unachosema lakini tuzidharau hivi inchi zisizo na majina makubwa katika ramani ya mpira wa mguu embu angalia Spain wanavyopata tabu huko, ufaransa nao kang'ang'aniwa na Hungary. England nao shughuli bado nzito. Ngoja tuone hatua zinazofuata itakuajeusiishie kupongeza tu ila angalia aina ya wapinzani alikutana nao katika group lake..all in all,
round inayofuata inakuja kuchuja
Ikitokea Sweden kapigwa na Ana point nne inakuwaje apo? Au itaangaliwa idadi ya magoli?H
Hili kundi mechi za mwisho zitakuwa tamu sana, kwasababu yoyote yule anaweza akashinda na kufuzu
View attachment 1824089