Wenzetu wako mbele kila sehemu aisee.Kampuni za Uchina zinaongoza kwa kujitangaza kwenye Euro 2020.
1. TikTok
2. Vivo
3. Hisense
4. Alipay
Ni nchi gani imefanya hivi?
Hisense ni wa malesiaKampuni za Uchina zinaongoza kwa kujitangaza kwenye Euro 2020.
1. TikTok
2. Vivo
3. Hisense
4. Alipay
Ni nchi gani imefanya hivi?
1992 walikuwa waalikwa tu kutokana na USSR kujitoa kama sikoseiYeahh, tena golikipa akiwa Schmeichel mkubwa, hapo unakutana na akina Laudrup brothers, Michael na Brian
Ushoga na Usagaji at it's best..
Mkuu inaweza ikawa Euro hii ikatufundisha kuwapa heshima inch zisizo na majina makubwaHawa Holland nao mbona weupe tu, wanapigiwa mwingi na Czech republic
Jamaa ana advocate ushogaUshoga na Usagaji at it's best..
Mimi sijui naangalia mechi ya Mwadui?Hawa Holland nao mbona weupe tu, wanapigiwa mwingi na Czech republic
Ligi kuu imesimama kupisha euro 😂😂Mimi sijui naangalia mechi ya Mwadui?
Yugoslavia1992 walikuwa waalikwa tu kutokana na USSR kujitoa kama sikosei
Na sasa game ngumu kwa Holland, maana De Ligt kashakula umemeNimekuja kustukia hawa Czesh replublic ni hatari sana Yan hii game kama ime balance hv yeyote anaweza akafa ....Niwasalimu Czesh kwa Jina la jumhuri
Dah Wa dutch wanauaaga mashindano kama utani ....Czech republic wanaongoza huko
Mkuu Denmark ni habari nyingine kabisa, wale jamaa wanatandaza mpira kiasi kwamba hata wakishinda inakuwa sio kwa bahati.Hawa Italia wakikutana na Denmark basi Safari yao itakuwa imekwisha.[emoji23][emoji23][emoji23]