Utopologist
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 998
- 2,506
Safari ya Italy itaishia robo dhidi ya Belgium
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Italy ni mweupe tu, kama angekuwa kwenye kundi F asingetoboa.Niliwahi comment humu kwamba Italy alikutana na wapinzani dhaifu!
Austria tu kijacho kimemkauka
Binafsi nimeshaingia na wasiwasi na hawa Italy wanaweza kutolewa na Portugal.Italy ni mweupe tu, kama angekuwa kwenye kundi F asingetoboa.
Ngoja tuone dhidi ya Portugal pengine kocha atachanga karata zake vizuri kwanzia kwenye kupanga kikosi, kimbinu na kiufundi. Mechi dhidi ya Austria kocha mwenyewe kazingua immobile amekuwa akiharibu mashambulizi mengi sana tangia mechi dhidi ya Uswizi lakini yeye anampanga tu anamuacha chiesa benchi.Italy anaanza kutufelisha kwakweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kampuni za Uchina zinaongoza kwa kujitangaza kwenye Euro 2020.
1. TikTok
2. Vivo
3. Hisense
4. Alipay
Ni nchi gani imefanya hivi?
Mbona unanicheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana.Mbona unanicheka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Germany aliliwa kimasihara sana
Kumbe Denmark ashawahi kubeba Euro [emoji15][emoji15]Euro 92 hawakufuzu ila baadae waliitwa kushiriki na kuchukua nafasi ya Yugoslavia, basi Denmark wakaitumia nafasi ike vizuri mpaka wakabeba ndoo
Apo umeongea Kama vile mpanga matokeo, Ila Mimi nakuhakikishia fainal itaingia timu ambazo hazikutarajiwa. Umeonaa Hungary alichomfanya German..!! Basi na fainal itakuwa ivyo ivyo mkuu..Mkuu utakuja kuniambia, Hapo portugal na Italy umechemsha! Portugal atapita na atafika fainali. Pia Germany na Netherland umechemsha, Netherland atapita na fainali ni Porgugal na Netherland. Hapo kwenye fainali chochote kinaweza kutokea japo shilingi yangu naiweka kwa Portugal.
Ufaransa imejaza nyota wenye majina makubwa mno lakini hawajaonesha thamani ya majina hayo uwanjani. Mpaka sasa Mbape nyavu anaonea kwenye luninga tu!!
Baeleze baelezeeAtakayekutana na Denmark hatua Yoyote ile hana bahat
Yani tuafukuza mwizi kimya kimya ..sisi hatupigi mboyoyo mkuu.@Ollachuga Oc wataelewa tu, hii ngoma ni mdogomdogo kama croatia 2018 mpaka final.
Asante asanteeeeeDenmark 3rd goal. MaehleView attachment 1831272
Hawa Italia wakikutana na Denmark basi Safari yao itakuwa imekwisha.[emoji23][emoji23][emoji23]Hata Ikitokea akachomoa leo, amini kwamba hawezi kifika popote kwa ule mpira wa kijinga.
Denmark timu yenye bahati zaidi Ulaya.Apo umeongea Kama vile mpanga matokeo, Ila Mimi nakuhakikishia fainal itaingia timu ambazo hazikutarajiwa. Umeonaa Hungary alichomfanya German..!! Basi na fainal itakuwa ivyo ivyo mkuu..
Utashangaa Mara paap Denmark hawa apa vs Coatria[emoji23]
Yeahh, tena golikipa akiwa Schmeichel mkubwa, hapo unakutana na akina Laudrup brothers, Michael na BrianKumbe Denmark ashawahi kubeba Euro [emoji15][emoji15]
Mkuu ni CroatiaApo umeongea Kama vile mpanga matokeo, Ila Mimi nakuhakikishia fainal itaingia timu ambazo hazikutarajiwa. Umeonaa Hungary alichomfanya German..!! Basi na fainal itakuwa ivyo ivyo mkuu..
Utashangaa Mara paap Denmark hawa apa vs Coatria[emoji23]