Mkeka wako vipi mkuu? Maana naona czech kawasha moto huko.
Holland wa moto ni wale wa World Cup 2010 ,waliotinga fainali. Holland ya kina Van persie, na mzee upara.Hawa Holland nao mbona weupe tu, wanapigiwa mwingi na Czech republic
Licha ya hivyo, kinachowafanya waonekane wa kawaida zaidi ni baada kuisaliti falsafa yao ya 4-3-3 total football.Holland wa moto ni wale wa World Cup 2010 ,waliotinga fainali. Holland ya kina Van persie, na mzee upara.
Dah mkuu ile holand ilikua ya moto sana ile final mpka leo sielew spain walitoboa vp,Holland wa moto ni wale wa World Cup 2010 ,waliotinga fainali. Holland ya kina Van persie, na mzee upara.
Netherlands Wamepigwa 2 - 0 nafikiri kikosi chao bado hakijasimama sawia yani kinakosa wachezaji bora eneo la kiungo na ushambuliaji mtu kama de jong (aliestaafu) angewasaidia sana pia 9 yap sio nzuri waliochezq 9 leo depay na hata promes alieingia sub aio natural strikers ......VP Netherlands v/s jamhuri ya check
Arjen robben hahaha walikuwa vizuri sana.....Dah mkuu ile holand ilikua ya moto sana ile final mpka leo sielew spain walitoboa vp,
Babu upara kwenye ubora wake miamba mingi sana kagongesha akitokea pemben af anachkua kijiji chake..
Lakini hata Holland walibeba Euro 88 kwa kikosi kikali cha akina Gullit, Van Basten na Rijkaard ambao kwa pamoja walikuwa wanacheza Ac Milan na timu ya taifa ya UholanziCzech wana historia na haya mashindano ndio maana niliwapa nafasi kabla ya mchezo.
Walibeba euro 76 kwa penati ya panenka, sio wakuja hawa.
Mkeka wangu wa makuti ya Nazi Czech kaukanyaga juu kwa kiburi kilichotukuka kama baadhi ya viongozi wa awamu ya 5 katika Nchi yetuMkeka wako vipi mkuu? Maana naona czech kawasha moto huko.
Hahaha sawa sawa[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ni Croatia
Liverpool ex-player huyu anazingua halafu black.