Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Kuna dalili Portugal kupigwa goli zaidi na Ronaldo kupewa red card.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema hata historia ya nchi inawanyima kufanya maajabu, Netherlands maana yake nchi ya bonde, toka lini maendeleo yakafanyika bondeni na ukumbuke jamaa ndio waanzilishi wa totoo futbal, chini ya Mwamba wao Johan cryfu na wamepita kizazi cha dhahabu sanaLakini hata Holland walibeba Euro 88 kwa kikosi kikali cha akina Gullit, Van Basten na Rijkaard ambao kwa pamoja walikuwa wanacheza Ac Milan na timu ya taifa ya Uholanzi
Thorgan Hazard what a goal[emoji91][emoji91][emoji91]
Kuna dalili Portugal kupigwa goli zaidi ya nne na Ronaldo kupewa red card.
Katikati Wanapwaya jaomotnho na Sanchez kama hawaonani unless wabadilike la sivyo si chini ya nne.Yaaan ureno mbele kama hawapo
Mbona katikati renato amepatawala Vizuri tu. Goli la Belgium ndio shuti lao la kwanza On Target.Katikati Wanapwaya jaomotnho na Sanchez kama hawaonani unless wabadilike la sivyo si chini ya nne.
hajalink up vizuri na Moutnho yeye ka yeye amefanya fresh.Mbona katikati renato amepatawala Vizuri tu. Goli la Belgium ndio shuti lao la kwanza On Target.
Wamefungwa fainali mbili wa za World Cup tena zote wakifungwa na waandaaji.Wanasema hata historia ya nchi inawanyima kufanya maajabu, Netherlands maana yake nchi ya bonde, toka lini maendeleo yakafanyika bondeni na ukumbuke jamaa ndio waanzilishi wa totoo futbal, chini ya Mwamba wao Johan cryfu na wamepita kizazi cha dhahabu sana
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Shida ni kwamba kila siku mna badili timu😂Narudia kusema, Ubelgiji ndie bingwa euro
Shida ni kwamba kila siku mna badili timu[emoji23]
Wacha nibak na Ufaransa
Daah kweli mna mioyo migumuTeam Portugal bado tuna matumaini
Bruno Fernandes na Joao Felix wanajiandaa kuingia