Germany kwa Denmark sijui kama atachomokaMy mkeka, updatedView attachment 1833798
Zipo timu zinacheza hivi Sema Kuna Aina fulani fulani za wachezaji wanaijua hii mifumo, mfano Barca ya Enrique ina messi kulia, Neymar kushoto, Iniesta midfield wa kushoto wote hawa ni creators wazuri, hivyo unacheza vizuri bila dedicated 10. pia mfumo huu unataka mabeki wanaopanda vizuri.
Ila portugal wao hawana watu hao, mentality ya kocha haina tofauti na 2016 bado anafikiri wao ni underdog anajihami zaidi na kujaza wakabaji wa kutosha kila eneo. Angecheza tu 4-2-3-1 Ronaldo mbele nyuma yake awaeke kina Bruno, silva na Felix hata double pivot akikaa palinha na renato mbele uhakika upo.
Watasawazisha goli mbili twende extra time.Croatia ahsanteni kwa kushiriki
Euro 96 final walicheza vs GermanySidhani, nimewahi kuwaona Czech fainali ya euro 96 dhidi ya Ujerumani.Holland mara ya mwisho kucheza fainali ilikuwa lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahWatasawazisha goli mbili twende extra time.
Muda umeishaWatasawazisha goli mbili twende extra time.
Daahh, kumbe wametupia cha piliMaiti kapiga chafya mochwari
Sjaona wa kuibabaisha spainMaiti kapiga chafya mochwari
Spain na Portugal ni timu ambazo zinafanana kwa kila kitu.Sio ww tuu mkuu hata mm ..Ila lazima tukubali ukwel .. Portugal bado hawana timu ya kuwafikisha mbali ...
umeonaaaaaaMuda umeisha
Daaahh, Croatia mumenifurahisha sana, sikuamini kama mngesawazisha