Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #1,801
Unaanzaje kulalaHahaha kdddk
Eti nilikuwa nataka nikalale
Swiz wamejipanga, hata wakifa watakufa kiumeUsijali mkuu mbappe amekasirika na lazima asawazishe.
Nilikuwa na shuhuli nyingi sana leo najisikia nimechoka kidogoUnaanzaje kulala
Na sio kwamba mpira hawapigiwi, yani kufungwa wamefungwa na mpira wanapigiwa haswaa[emoji23].Wafaransa hawaamini
Kiufupi hii level sio ya kupuuzia team tena, team pekee iliyotoka kizembe ni Wales tu ila nyingine zote zinatoka kiume kwelikweli.Hawa Waswizi sio watu wa kuwachukulia poa
Yah mkuu, Hawana hata preshaNa sio kwamba mpira hawapigiwi, yani kufungwa wamefungwa na mpira wanapigiwa haswaa[emoji23].
KimeumanaaaaaahDuu, nini tena Ufaransa
Wazeee wa mikeke wanapumulia machine.Jaman kimeumana tayari kwa kina mbappe, [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna miujiza Uswizi atafanya hapa?
Au bora nikalale tu
We upande upi Leo?😂Jaman kimeumana tayari kwa kina mbappe, [emoji23][emoji23][emoji23]