[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawaona nawaona.Wazeee wa mikeke wanapumulia machine.
Mie sina upande, kesho ndo zamu yangu kuhaha [emoji23][emoji23][emoji23]We
We upande upi Leo?[emoji23]
Timu ipi hiyo?Mie sina upande, kesho ndo zamu yangu kuhaha [emoji23][emoji23][emoji23]
Walijifunga lile goli mkuu hawakufunga franceHawa mabitozi kina mbappe hata sijui waliwafungaje wajerumani
[emoji629]Timu ipi hiyo?
Hahahaha! hapo kweli kazi unayo lolote laweza tokea.[emoji629]
Yaan kesho tumbo litakua linawaka moto vibaya.Hahahaha! hapo kweli kazi unayo lolote laweza tokea.
Relax tuu... mapema kesho saa tatu kinakuwa kimeumana.Yaan kesho tumbo litakua linawaka moto vibaya.