Hili kombe ni la denmark,we ngoja kesho tena Germany aage afu uone[emoji23][emoji23]France anapita vizuri
Ana goli kweli hata moja?Amekuwa na michuano mibovu sana
Hata la offside hanaAna goli kweli hata moja?
Amini kwamba bingwa ni Denmark.Kama Ufaransa itaondolewa, michuano inaweza ikawa na bingwa asiyetarajiwa sana
Dsh inawezekana. Kwa ule mpira hata mmm naamini. Nawasapot kwa kweli. Ila Italy kiboko yao, hawatoboi pale.Hili kombe ni la denmark,we ngoja kesho tena Germany aage afu uone[emoji23][emoji23]
Cc Ollachuga Oc
Huyu dogo pumbavu sana, sijui hajafundishwa kupiga penati...
Na ubora wa switzerland pia.Defence ya France imesababisha yote haya
Hahaha😂😂😂France anapita vizuri
Mm ningekua kocha nisingempa penalty. Maana kakosa magoal kibao, penalty ndo angepata?Hata la offside hana
Switzerland Leo walikuwa Bora sanaNa ubora wa switzerland pia.
Hawa wasingetoka, Mbappe asingepewa penati na wasingetolewaUfaransa Wana zama..
Benzema out..
Thomas lemar too slow..
Griezman out..
Shida wanayo
Naunga mkono hoja, wamepambana sanaSwitzerland Leo walikuwa Bora sana
Za matako labda, huyo dogo anakuzwa tu. Kimsingi haifiki hata kwa Cavan tu, achana na akina Ronaldo na Messi.Mbappe eti paund mil 200