Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kashatoka naona njia nyeupe kwa Denmark hukoKama Ufaransa itaondolewa, michuano inaweza ikawa na bingwa asiyetarajiwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashatoka naona njia nyeupe kwa Denmark hukoKama Ufaransa itaondolewa, michuano inaweza ikawa na bingwa asiyetarajiwa sana
Kinachoongeza raha ya huu ushindi ni ile Pogba show off alivyofunga goli la 3Kwa kweli. Hawa jamaa wana tambo sana. Alaf kikosi chao cha kawaida sana basi tu.
Angalau mkeka wako umetiki leoUfaransa wanaweza wakatoka kwa mikwaju ya penati kwa mtazamo wangu
Italy huyuhuyu aliepumulia mashine kwa Australia? Mkuu nakwambia hawa giants wengi wataaga kea vitimu vidogovidogo, mwenye siku nyingi kwenye Euro labda Belgium.Dsh inawezekana. Kwa ule mpira hata mmm naamini. Nawasapot kwa kweli. Ila Italy kiboko yao, hawatoboi pale.
Kabisa. Griezman na benzema mabingwa wa penalty. Kwanza wasingeenda extra time.Hawa wasingetoka, Mbappe asingepewa penati na wasingetolewa
Hawa nao watolewe tu kesho wana majigambo sana.Ile hashtag ya Waingereza inazidi kupata nguvu #ItsComingHome
Kweli anaweza akasogea kiainaKashatoka naona njia nyeupe kwa Denmark huko
Arsenal akielekea As RomaXhaka anachezea club gan????
Natamani Sana Belgium atolewe na Italy, Naomba iwe hivyo.Italy huyuhuyu aliepumulia mashine kwa Australia? Mkuu nakwambia hawa giants wengi wataaga kea vitimu vidogovidogo, mwenye siku nyingi kwenye Euro labda Belgium.
Jamaa wanasakata kabumbu balaa sema nao Australia wako vzr kama ulivosema underdogs wanahamgaisha magiants.Italy huyuhuyu aliepumulia mashine kwa Australia? Mkuu nakwambia hawa giants wengi wataaga kea vitimu vidogovidogo, mwenye siku nyingi kwenye Euro labda Belgium.
Lipuli ya Iringa.Xhaka anachezea club gan????