Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ujerumani toka 2018 hamna kitu kabisa!
Wanacheza kizembe mno.
Hahahaaa.
Wanacheza kizembe mno.
Hahahaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamewapa maneno waingerezaUjerumani toka 2018 hamna kitu kabisa!
Wanacheza kizembe mno.
Hahahaaa.
Amekula adhabu yake tayariMullerrrrrrr anakosa goli kama kagere.
Wanastahili kufungwa. Wanacheza kizembe sana.Wamewapa maneno waingereza
Huyu jamaa akishika mpira kumpokonya shughuli.. guu lenyewe Kama mbao ya 8*1Jack Grealish🔥🔥🔥
Huyu cocha wa Germany fala sana sisi tunataka wafike matuta yeye anawaacha lorry sane na gnabry nje.
Wanaomba msamaha kwa Ozil, kama jinsi ambavyo Arsenal wanatakiwa kufanya.Ujerumani toka 2018 hamna kitu kabisa!
Wanacheza kizembe mno.
Hahahaaa.
Kama mimi tu, ongeza na Italy hapo.Germany wanatoka ...katika maadui zangu zimebaki timu mbili
Belgium
Spain
Hawa wakitoka ..waliobakia yeyote atakayechukua fresh tuu Wala sijali tena [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Italy anafatia, ni lazima aage mashindano.Yaani kwa ule mpira aliopiga na Australia,sioni alifika mbali.Hii michuano inavyoenda bingwa hatabiriki
Mkuu nimefurahi sanaKundi F la Kifo hatimae limekufa kibudu