Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hahahahaa, njia ya elimination ikishindikana inabidi utumie ya substitutionMKuu umekosa aibu kabisa, yani unavurunda tu na bado unaendelea kukomaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa, njia ya elimination ikishindikana inabidi utumie ya substitutionMKuu umekosa aibu kabisa, yani unavurunda tu na bado unaendelea kukomaa [emoji23][emoji23][emoji23]
We sio shabiki wa mpira, hizi comment zinaonyesha ufahamu wako wa haya mambo ni mdogo sana.France walikua ni overrated sana, nilizungumza mapima ila watu ni wabishi sana.
Defence yao ya kati ni utopolo, nilikua na uhakika kabisa ndio itakayo kuja kuwatolesha.
Ngolo Kante ndie mchezaji kilaza Zaidi kwenye timu yao, hakustahiki kabisa kuwa ni stater uwanjani.
Mbappe dogo kiburi kimemzidi kuliko hata uwezo wake, Nilishauri mapema Awekwe bench Giroud achukue namba.
Ila kocha aliwaogopa sana Kante na Mbappe japo kuwa alikua akielewa kuwa ni vimeo, hofu ya media na mafans wasiojielewa aliiogopa. Mwisho kabisa amevuna alichokipanda.
Halaf hili goli nakumbuka lampard alipiga shuti kali kiasi kwamba ref na hata sisi watazamaji hatukuweza kuona kama ni goliLile goli la Lampard ndio lilisababisha kuanzishwa GLT (Goal Line Technology)
Hapa wanangu wa Denmark tunatoboa vizuri tu.Kama timu yako ya awali haipo, unaruhusiwa kutafuta mpya, hyo ndii ratiba ya robo fainali
View attachment 1835635
Ya Hesabu kabisa🤣F ni F tu
Ujayiona Denmark wewe Shityee boy?Mimi ni team Belgium ,..
Come on Belgium
Yan Denmark tunavyokichafua sioni wa kutuzuia kabisa.Namuona Denmark hapo akibeba hili kombe acha nihamie kwake German wajinga kweli yaani
Ni ngumu sana hii game ni 50% 50% mkuu.Denmark kwa Czech hawachomoki wanatolewa.
Halikuwa goli la kawaida mkuu ..ule mzigo ulinyooshwa haswa.Halaf hili goli nakumbuka lampard alipiga shuti kali kiasi kwamba ref na hata sisi watazamaji hatukuweza kuona kama ni goli
Nimeangalia tena sasa hv naona ni shuti la kawaida tu
We sio shabiki wa mpira, hizi comment zinaonyesha ufahamu wako wa haya mambo ni mdogo sana.
Nimeuchungulia tena youtube apa naona goli la kawaida sio kama shuti lile la mara ya kwanzaHalikuwa goli la kawaida mkuu ..ule mzigo ulinyooshwa haswa.
Mkuu unataka kusema Kante kwenye hii michuano hajaupiga mwingi??Nyinyi ndio wale washabiki mambumbumbu niliowakusudia
Nilichokizungumza mimi kina shida gani? Hukuona Kante alivyokua akizurura uwanajani kama chizi mpya bila ya msaada wowote kwenye timu?
Mbape katulaza na viatu....Ufaransa lazima tubebe ndoo.
Haipo hiyoDenmark kwa Czech hawachomoki wanatolewa.
Mkuu unataka kusema Kante kwenye hii michuano hajaupiga mwingi??
Ni kawaida mkuu hutokea, ila bado kante ni kiungo matata.Mwingi tena? hata mdogo hakuupiga. Ni aibu kabisa, wiki kadhaa tu nyuma mulikua mukiporoja eti Best midfield in the world, my foot
Sitaki team yeyote hapa, na mashindano yamepoteza mvuto kwangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama timu yako ya awali haipo, unaruhusiwa kutafuta mpya, hyo ndii ratiba ya robo fainali
View attachment 1835635