Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]It's not coming home..
Waingereza watalia sana hapo Wembley
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]It's not coming home..
Waingereza watalia sana hapo Wembley
Uefa Euro 1996 ilifanyika England. Uingereza alitolewa na Ujerumani kwenye Nusu Fainali katika Dimba la Wembley.Nakubaliana na ww mkuu. Thou matamanio yangu n kuona England wakimwaga machozi hapo hapo nyumbani kwao [emoji4][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ni roho mbaya tuu kwa waingereza
KabisaaaaSio ya kukosa hii mkuu
Nakubaliana na ww mkuu. Thou matamanio yangu n kuona England wakimwaga machozi hapo hapo nyumbani kwao [emoji4][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ni roho mbaya tuu kwa waingereza
😂😂😂😂
Leo hamtoboiTukutane sa4 msikimbie tuu
Tatizo mba kelele sanaLeo England tunaua si chini ya goli 3
Penalty taking professional.
Ngoja tusubiri upepo wa watoto wa malkia kwanzaHapo mwisho weka kabisa Italy
Haikua Rahis mkuu..Argentina Team ni ya mtu m1 na atleast Goalkeeper mzr sana..Martinez namkubal mno na uwa nashkr aliondoka Arsenal kwenda Aston Villa kupata namba ni goalkeeper anafnya sana crucial saves...Brazil X Argentina asee game ngumu..lkn Naomba tu The Gods Of Football wafanye tu Miujiza Messi ashinde tu International trophy kwa sababu ana deserve ameangaika sana na iyo team na amekua criticized heavily lkn jamaa amekua ni mtu anapambania sana team yake ya taifa...kiukwl am rooting for Argentina pa1 wanateam ya kawaida compared to Brazil bt kama wanahitaj kombe wanatakiwa kuperform hard as twice as Brazil.Daah, Argentina wamejambishwa hadi matuta.
Hongera kwao kwa kufuzu
Ivi Mkuu hii ni application au?Tuta
Tutaitazama kupitia hesgoal.com
Ngoja tusubiri huenda bahati ikaangukia kwao ili tuvunje rekodi ya Messi kuwa mchezaji bora asiyewahi kushinda International/Major trophyHaikua Rahis mkuu..Argentina Team ni ya mtu m1 na atleast Goalkeeper mzr sana..Martinez namkubal mno na uwa nashkr aliondoka Arsenal kwenda Aston Villa kupata namba ni goalkeeper anafnya sana crucial saves...Brazil X Argentina asee game ngumu..lkn Naomba tu The Gods Of Football wafanye tu Miujiza Messi ashinde tu International trophy kwa sababu ana deserve ameangaika sana na iyo team na amekua criticized heavily lkn jamaa amekua ni mtu anapambania sana team yake ya taifa...kiukwl am rooting for Argentina pa1 wanateam ya kawaida compared to Brazil bt kama wanahitaj kombe wanatakiwa kuperform hard as twice as Brazil.
Ilipofika zamu yake nilimuombea sana akose, moyo ukawa unaenda mbio hatimaye maombi yangu yakajibiwa.
Ni websiteIvi Mkuu hii ni application au?