Lol hizi kosa kosa langoni mwa jerumani wamefukia nini langoni mwao.......?
chochote kile ila magoli lazima yaingie na Ureno wanapita tu, ujerumani watachemsha kipindi cha pili. Tatizo Ureno wanashindwa kuwabana viungo wa kati na mawinga. Lazima watambue kwamba Ujerumani wameamua kucheza viungo ndo maana Ballack wamemuweka kiungo wa kati.
kati Ureno kulivuja ndio maana katolewa Moutnho pale...ila kazi ipo Podo na shwaz wanakimbia sana unaona hata Bosingwa hapandi sana....ungwe ya pili ndio hiyooochochote kile ila magoli lazima yaingie na Ureno wanapita tu, ujerumani watachemsha kipindi cha pili. Tatizo Ureno wanashindwa kuwabana viungo wa kati na mawinga. Lazima watambue kwamba Ujerumani wameamua kucheza viungo ndo maana Ballack wamemuweka kiungo wa kati.
Nziku, lakini hata ule ufundi wao wa mbele hawakuuonesha ipasavyo leo.. wamenikera! Ngoja nimpigie simu rafiki yangu Mreno kumpa pole...Kipa na mabeki wameiua Ureno