Hollo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 830
- 165
- Thread starter
- #381
Nakwambi acha tu yaani kama timu unayotaka ishinde inafungwa unaweza ugua ugonjwa wa moyo!Yaani waholanzi wanavyoshambuliwa hadi nimezima Tv sasa hivi nasikiliza kwenye radia atleast sioni wanavyoshambuliwaJamani mko wapi mtu mzima anadhiirika huku......
Mtalaam,holo......kiwango wanachocheza holland bora ya marcio 11