Jamaa hawa kumbe hawakubahatisha waliwafunga england kwenye makundi kihalali kabisa!But tukubali kwa kweli Warusi wamecheza soka la kufundishwa. Wanastahili kuwa nusu fainali. Dutch is out! Goli la tatu hiloooooooooooooo!
Hapa Italy wanaweza wakachukua kombe historia ya france kuchukua kombe la dunia 1998 na kufuatiwa na la ulaya 2000 itaweza wakuta Italy pia.Any way tusubiri!Italy mwaka huu siyo wazuri sana so Spain wanatakiwa wakaze buti maana huu unaweza kuwa mwaka wao. Kwa sasa nadhani Warusi wana nafasi kubwa maana hata wakicheza na Itallya au Spain kwa mpira wa leo watashinda tu!
...wale ma-two VANs leo kule mbele hawa kuonesha chochote... wot a shame!Guus kawatolea uvivu Holland.
Pole sana!Yaani wewe acha tu!That is Football ukizingatia na Taifa star imefungwa leo maumivu maradufu
...wale ma-two VANs leo kule mbele hawa kuonesha chochote... wot a shame!
van perse na guu lake la kushoto ndiyo kabisaaa... i'm really gutted.
Yaani wewe acha tu!Hii holand iliyocheza leo si ile iliyowabamiza waitaliano na wafaransa.Naona walilewa sifa labda wakajisahau.my dear hollo, wameniudhi sana holland... yaani wachovuuuu... wamechoka quarter finals... extra time hawaiwezi, nashangaa kule kuzibamiza team mwanzoni magoli manne, matatu, na bila sijui kulikuwa na manufaa gani, nadhani walijisahau...
TS, watapokelewa nyumbani na vilio vya majengo kubomoka.... is this gon'be last straw for maksimo?!...who knows..