***Euro2008***

***Euro2008***

leo ni leo 2 2 Turkey wanathawazisha
 
Kudadadeki huyu Lehman kweli kiazi goli kafungwa kama anadaka senene
 
basi tena huyu lahm bei bora naweza kusema.....ger 3
 
German 3 wazee, au tv yangu ipo 3mins ahead?
 
Oh My!!!!
3 added minuts....I hope hakuna tena surprises..
 
Turkey wametoa somo...Germany wameponea kwenye tundu la sindano.
 
Turkey wamekufa kiume..wachezaji wao 9 katika first 11 hawakucheza majeruhi na wengine wana kadi.....
 
mwaka huu hii mishandano haieleweki kabisa bana, kila unapotupa karata linatokea garasa, sasa achukue yeyote isipokuwa German. hawa German kiburi and racist siwapendi kabisa mimi.
 
mwaka huu hii mishandano haieleweki kabisa bana, kila unapotupa karata linatokea garasa, sasa achukue yeyote isipokuwa German. hawa German kiburi and racist siwapendi kabisa mimi.

Nakuunga mkono ila nadhani watabeba ndoo.
 
Spain lazima walalae na jezi yao hii ya njano nuksi tupu!!
 
Kifupi nataka timu itakayo iondoa ujerumani fainali....siwapendi wajerumani
 
Spain lazima walalae na jezi yao hii ya njano nuksi tupu!!

Kwakuwa wanajezi za njano ngoja niwashangilie hiyo ndo jezi ya Young africans na Brazil, leo naiacha jezi ya kipenzi changu Man U.
 
Spain lazima walalae na jezi yao hii ya njano nuksi tupu!!
Rangi ya gold hiyo ya bahati!Na hivi walikuwa kundi moja hatari tupu!Sijui Russe watalipiza kipigo?
 
Hivi huyu babu louis Aragones kwa nini hakumchagua RAUL wa Madrid kwenye kikosi cha taifa for euro 2008
 
Hivi huyu babu louis Aragones kwa nini hakumchagua RAUL wa Madrid kwenye kikosi cha taifa for euro 2008

Mtimanyongo tu vibabu huwa na visa sana......lakini pengo la Raul limezibwa....kakosea tu wakongwe lazima
 
Back
Top Bottom