***Euro2008***

***Euro2008***

Leo ni leo Turkey out?Germany in?who knows? ila muamuzi ni dk 90 if not dk 120 or matuta!

if it was to pledge i would have pledged a 1M for Turkey, Ujerumani nje leo.
 
if it was to pledge i would have pledged a 1M for Turkey, Ujerumani nje leo.
Mimi leo yangu macho na hivi hakuna timu inayonikuta ndani ya moyo wangu!iwe Turkey au Germany kwangu sawa tu!ila mimi naona Germany watashinda!
 
Haya soka liko mahala pake..bata mzinga 1 jerumani 0.Bata mzinga akishinda nitafurahi sana....tunataka sura mpya fainali
 
WARgervturkbottom732.jpg
 
jerumani wamenyimwa penati ya wazi wazi.....bado naiombea Turkey wapite
 
mimi leo sina timu ila wajerumani siwapendi!atakaepita huyo huyo tu!
 
waungwana naona umeme umekatika...au ni satellite zinazingua?
 
...aaarrgh, umeme wa richmond noma sana huu, tv imetoweka umeme umekatika!!... bahati nzuri nimebakiwa na salio kwenye tigo, ndilo hili hili natumia kuweka bandiko jf.

...nami kama hollo hapo juu, sijali nani ashinde.. yeyote yule twende tuu....
 
Umerudi kitu ililast kama 6-8 minutes hivi.

Wajukuu wa Hitler naona wanachezewa tuu...Turkiye wanatoy around nao lol...
Swiss wana mgao i see......umekatika tena.....
 
Dangit!! ngoja nitafute radio sasa...!!! na kusearch bbc
 
Klose mbele mbele!kawafunika luca ton na Ribery!
 
hahaha jamaa anasema the major issue is powe problem....Richmond mpaka huko?
 
nitafurahi turkey wakirudisha hilo bao na zipigwe penati then ujerumani waondoke zao.
 
muda unayoyoma kudadadeki Turkey fanyeni mambo mrudishe bao hilo
 
Back
Top Bottom