leo ni leo 2 2 Turkey wanathawazisha
mwaka huu hii mishandano haieleweki kabisa bana, kila unapotupa karata linatokea garasa, sasa achukue yeyote isipokuwa German. hawa German kiburi and racist siwapendi kabisa mimi.
Spain lazima walalae na jezi yao hii ya njano nuksi tupu!!
Hivi huyu babu louis Aragones kwa nini hakumchagua RAUL wa Madrid kwenye kikosi cha taifa for euro 2008