***Euro2008***

***Euro2008***

Wameniangusha wajerumani, duh Croatia kiboko. Any way there is still chance ya kusonga mbele, tusubiri match yao ya mwisho.
 
Wameniangusha wajerumani, duh Croatia kiboko. Any way there is still chance ya kusonga mbele, tusubiri match yao ya mwisho.
Mama bingwa huwa hafungwi sasa hao wajerumani hawatakuwa mabingwa wa hii euro 2008!
 
Mama bingwa huwa hafungwi sasa hao wajerumani hawatakuwa mabingwa wa hii euro 2008!

sometime hutokea ukakamatwa somewhere. But bado nawapa nafasi kubwa ya ubingwa kama watafanya vizuri kwenye mechi iliyobaki.
 
Matumaini yapo!ila mechi ya pili ndo itatoa picha kidogo!poland wakishinda!wajerumani watakuwa in bad condition!any way naona wanapunguza magoli
 
Ujerumani imerudisha goli moja.

Mambo Croatia 2 Ujerumani 1
 
wafanye miujiza basi kuonyesha cheche za champions to be, at least kwa draw
 
Naona wajukuu wa Hitler wanatendwa hapa. lol I'm loving this for real!!
First Italianos, now Germany..who is third Les Blues?
 
kuna hatari round ya pili wareno kukutana na wejerumani!in case wareno wakiongoza kule A then wajerumani wakawa wapili B!patakuwa patamu hapo!
 
Mechi imemalizika Croatia 2 - 1 Ujerumani, hapa Austria ajiandae maana Ujerumani watamtoa roho.
 
Croatia ni moja ya "new football powerhouse" za Ulaya.

Unahitaji kuwa na "creative players" wa jamii ya Luka Modric na Petric ambao wakati wowote wanaweza kutumia dakika moja kufanya maajabu au tunasema one moment of brilliance!

Ujerumani hawakuwa "creative" leo na wanaonekana wamechoka. Hata hivyo bado wana nafasi wakishinda mechi zilizobaki.
 
Si Nziku peke yake watu wengi wanachanganya hizi nchi mbili.

Mimi huwa bado napenda kuiita Austria-Hungary ili nikumbuke.

Hata wenyewe wa Austria nadhani wanalijua hilo na walianzisha slogan ya No kangaroos in Austria.
 
He he ........Croatia wametoa kibano wamewaumbua wazee wazima. Whos next?
 
Co-Austria wamejitutumua na droo, mchezo unazidi kunoga na kuwaweka wajerumani mashakani. Siadhani kam wajerumani watakubali kutolewa nishai na Austria, ila mpira dakika 90.
 
Leo fainali nyingine kwenye groupe C!si mchezo sijui les bleus watafanikiwa kuwastopisha wadutch kidogo!
ALLEZ LES BLEUS!
 
wale ma ajuza sijui leo wataweza rudi JF???maana wamepotea kabsaaa!!!aka azzuri sijui nini nini niniiii!!!
 
Leo fainali nyingine kwenye groupe C!si mchezo sijui les bleus watafanikiwa kuwastopisha wadutch kidogo!
ALLEZ LES BLEUS!

hivyo vibabu kuvipunguzA speed wadachi....sijui!!!wala sidhani ila nisingeweza weka hela yangu kwao as sintoshangaa wakitolewa leo
 
Hata wenyewe wa Austria nadhani wanalijua hilo na walianzisha slogan ya No kangaroos in Austria.

Asante Mama, hii itanisaidia kutowachanganya hawa, majina yao yanakaribiana sana ni sawa na maneno thibiti na dhibiti au wasilisha na wakilisha kaziiii kweli kweli.

Utamu wa Euro unaendelea leo Italy wanacheza kwa nguvu na kutafuta magoli kazi ipo na Romania wanawavia wawalime kimoja walinde goli au wapate sare kama ilivyokuwa kwa Ufaransa.
 
Back
Top Bottom