Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 363
Natamani sana kuona France ikichapwa na Holland ili game yao na Italy iwe ya kufa mtu, itakuwa ni winner gets all! Waromania nadhani wakijitahidi sana wanaweza kuambulia draw against Netherland, I cant see them winning.