Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,371
- 251
dah naona Andreas Isaksson & co (defense ya sweden) leo wamekubali wakafungwa goli la kwanza as it was de only team who hawajafungwa hata ka goli kamoja!!!so nw hamna timu yenye defense bikira bado!!!
so far holland are the only team who has shown gud mpira kidoooogo na portugal na spain ambao wametoa hofu kuwa wakimit team kubwa wanabugi step na kupagawa!
david villa is de leading top scorer wit 4goals akifuatiwa na podolski with 3 goals!!
so far holland are the only team who has shown gud mpira kidoooogo na portugal na spain ambao wametoa hofu kuwa wakimit team kubwa wanabugi step na kupagawa!
david villa is de leading top scorer wit 4goals akifuatiwa na podolski with 3 goals!!