Ulikuwa na sifa zipi na ukapewa zipi
kabla ya evaluation ulikuwa na vyeti gani na baada ya evaluation ukawa na sifa zipi
Nilikuwa ngazi ya cheti na baadae nikapata dip ambavyo nilisomea nje ya nchi,hivyo nilipeleka NACTE,ili nipate uthibitisho ka inalingana na viwango vya elimu ya hapa home,ili ht nikitaka kuomba kwenda lev ya degree niwe na uhakika mkuu