dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 166
Nina cheti cha grade A Ualimu, pia nina cheti cha elimu maalum cha Patandi na nina cheti cha foundation cha Open University na elimu ya kidato cha 4. NACTE wamenambia nipeleke vyeti vyangu vikafanyiwe evaluation; nataka kuapply elimu ya juu.
Mwenye ujuzi anifahamishe wanafanyaje hao NACTE?
Mwenye ujuzi anifahamishe wanafanyaje hao NACTE?