Evarist Chahali, hili limenitisha!

Tatizo ni IDs au kujibiwa hoja zako? Yes, mlalahoi and Kulikoni Ughaib are related. Former is my personal JF membership ID,latter's my blog's membership ID. Is that a treasonable offence?

Mimi sikujua kama hii ni hoja.
Unapokuwa katikati ya involuntary choice of life and harm/death halafu unapiga kelele jamii ikusaidie, sikudhani kama hiyo ni hoja kwa sababu hata nilichoandika kwangu mimi siyo hoja.

Mimi siko hapa kurumbana na wewe kwa sababu kwangu hii siyo hoja. Nilikuwa najaribu kujibu kilio chako. Tatizo unataka kutulazimisha tukubaliane na mawazo yako wakati hata hao unadai waliokugongea usiku wa manane (UK police) hawakukueleza yule anayetaka kukudhuru kimwili au psychologically.

Mkuu, Usitake kutufunga kimawazo na kama hukubaliani na scrutiny basi ungejifungia ndani ya dunia yako badala ya kuleta maisha yako hapa JF ili tujue nini kinachoendelea.

I'm sorry, kwa maisha yako kuwa hatarini but IF THIS IS NOT A MADE UP STORY. Afterall, THIS IS JAMII FORUM, WHERE PEOPLE DARE TO TALK OPENLY.
 

Nadhani ndugu yangu una ajenda yako binafsi.Hakuna mahala nilipopiga kelele,let alone kutamka tu, kuwa ninaomba msaada jamii inisaidie. Bandiko husika hapa JF ni matumizi ya haki yangu kama mwanachama wa ukumbi huu tangu mwaka 2006 kubandiko chochote ninachodhani kinafaa alimradi simtukani au kumkwaza mtu.

Inanishangaza unapodai kuwa upo hapa KUJIBU KILIO CHANGU.How can you respond to kilio kisicho-exist? Pia unanishangaza unapodai kuwa tatizo langu ni kutaka watu wakubaliane na mawazo yangu.Nitendee haki tafadhali.Hivi kuna mahala popote nimejaribu kumshawishi mtu aafikiane nami?

Narudia tena: sikuandika makala hiyo kwa minajili ya kutaka huruma ya mtu au kumwaminisha yeyote kuwa tukio hilo lilinitokea.Nimekuwa nikiandika makala kwa bloguni na magazetini kwa muda mrefu sasa,na kamwe sijawahi kutumia maandiko yangu kutaka kuwaaminisha wasomaji kitu wasichoamini.Actually, binafsi sijioni kama mwandishi bali a conversationalist,na maandiko yangu ni maongezi tu in printed form.

Sijakufunga kimawazo bali umeamua kwa hiari yako kufanya hivyo.Nimfunge mtu kimawazo ili iweje? And who are you to tell me what to post or not post hapa JF?

Yes,JF is allabout daring to talk openly lakini kichekesho ni kwamba pamoja na kutambua dhima hiyo uhuru wa kuongea kwa uwazi bado unajaribu kujenga impression kana kwamba nimetenda kosa la jinai kuweka bandiko husika.

Naomba sana unielewe kuwa bandiko langu halikuwa na dhamira ya ku-seek sympathy. Kadhalika, at no point, nimejaribu kumshawishi mtu yeyote yule kuamini au kutoamini nilichoeleza.So far, nilichotumia ni haki yangu ya uanachama wa JF kubandika makala ya jarida la RAIA MWEMA ambayo coincidentally inanihusu.

Nitaendelea kuheshimu uhuru wako wa kutafsiri habari hiyo kwa mtizamo wowote ule.
 
Interesting! Mkuu unaweza kuweka hapa bandiko lake lolote ili tuone kama ni tishio?

Akina Mzee Mwanakijiji wanaliza watu kila siku na wanafahamika si wangeshakuwa historia kama Stan Katabalo!

Panya akitaka jina hujipitisha kwa watu. Hii ni kama hadithi ya kutunga, hata kama kungekuwa na tishio hilo hivi watu hao waliotumwa walipifika huko unakoishi waliripoti katika vituo vya polisi kuhusu kusudio lao hilo?maana anasema alikwenda ktk kituo cha polisi cha jirani kuuliza wakamthibitishia.

Kama mambo yanagoma huko msitafute vizingiziokwa kudhani eti mtapewa uraia wa huko, rudini tu home.
 

Mkuu,
Mimi sina ajenda yoyote binafsi na wala sitegemei kufanya hivyo. Ninachoweza kusema kwa sasa, siku scottish mountains, hills na baridi imekuchosha na ukaamua kushuka London kwa weekend, as your fellow countryman. Just PM na niko ready and happy to have coffee with you. Your welcome to London. Have a nice weekend.
 
Naona watu wanaanza kuwa mashekhe Yahya, kila mtu anajifanya kusema Chahali ni TISS na kelee kibaaaaao,

Je hawa wanaodhuliwa hapa nyumbani nao ni TISS?
 
Mkuu naona kama ni kueleza na kufafanua umejitahidi sana. Katika ukumbi kama huu, ni vigumu sana kupata uelewa na mtizamo unaofanana hata katika jambo lenye kujieleza lenyewe. Kila la heri.
 

Tupe case number Mkuu.
 
Tupe case number Mkuu.

Mkuu, kama una nia ya dhati ya kufuatilia, ninakushauri utumie mawasiliano niliyoyaweka hapo kisha uulizie case number.Naomba tu ukumbuke kuwa katika open forum kama JF sio salama kuweka kila kitu hadharani.
 
Mkuu, kama una nia ya dhati ya kufuatilia, ninakushauri utumie mawasiliano niliyoyaweka hapo kisha uulizie case number.Naomba tu ukumbuke kuwa katika open forum kama JF sio salama kuweka kila kitu hadharani.

Case number is much better. Wakipigiwa simu, kitu cha kwanza watauliza case number.

Polisi wana kesi nyingi kwenye system yao. Case number itasadia ku-locate the case.
 
huyu atapata psychological disorder, paranoid personal disorder!
 
Mkuu, kama una nia ya dhati ya kufuatilia, ninakushauri utumie mawasiliano niliyoyaweka hapo kisha uulizie case number.Naomba tu ukumbuke kuwa katika open forum kama JF sio salama kuweka kila kitu hadharani.

Maji umeyavulia nguo unashindwa kuoga?

When you come come correct, or don't come at all.

Unaalika JF nzima ije kwenye party kwako, mtu anakuuliza address yako unasua? Una nia ya kualika watu au una show off tu?

Hili suala ushaliweka public, ushaalika watu, unasua kutoa case number?

Why should I take you seriously?

Ulifikiri watu hawatauliza? Kama huna cha kuficha unaogopa nini?

Kama una cha kuficha kwa nini ulitu beep? Ona unapigiwa huna cha kusema. Ulifikiri hamna dola?

Don't half step. You are impacting your own credibility.
 

Unajua watu wa hovyo kama wewe shuleni tuliwaita utumbo wa bata. Kwanini? Kwani kituo cha polisi wanapokuwa na info za mtu fulani kushambuliwa ni wale wahalifu huwa wanakwenda kuwapa habari.... ?
 

Wacha longolongo zako wewe. Huna hoja hapa!
 
Chahali ni miongoni mwa marafiki wa mabadiliko ninao waheshimu sana kwa michango yake na maono yake ya kujenga Tanzania mpya tunayo ihitaji kwa mabadiliko makubwa ya msingi na kimfumo.

Binafsi tishio lolote la kuuwawa kwa mtu yoyote nalichukulia kwa tahadhari na umakini mkubwa huku nikimuonea huruma mtu huyo kwa kutaka kunyang'anywa roho yake na binadamu badala la mwenyezi Mungu mwenye mamlaka ya kumfanya mtu aishi au afe kwa mapenzi yake.

Tishio dhidi ya chahali ni tishio la kulaani kwa nguvu zote kama inavyo weza kutokea kwa mwingine. Kama wameona chahali ana makosa kwa nini wasifuate taratibu za kisheria bila kumtishia na kum- torture psychological?!

Wanao kupangia ubaya mwenyezi Mungu awa felishe mipango yao na kila jema na lenye kheri lisikuponyoke kaka mkubwa.
 

Punguza munkari. Vyombo vya dola hapa havifanyi kazi jinsi unavyofikia. Credibility yangu itaharibika pale tu itapobainika kuwa habari hii ni ya uongo.Usinihukumu kabla ya kuchunguza.

Sijamwalika mtu au kusaka msaada wa kusaidiwa au kuonewa huruma. Kutoa au kutokutoa namba ya kesi inabaki kuwa uhuru wangu,na ninaamini huna haki ya kuuingilia.Kama una kiu ya kuhakikisha basi mawasiliano yapo hapo juu.
 
Case number is much better. Wakipigiwa simu, kitu cha kwanza watauliza case number.

Polisi wana kesi nyingi kwenye system yao. Case number itasadia ku-locate the case.

Cha kwanza kukuuliza ni jina la mhusika wa tukio la anuani yake. Case number ni suala la kati ya polisi na mhusika, NA NINAKUHAKIKISHIA HAWATOKUULIZA KUHUSU HILO.wHY NOT TRY, MKUU, BADALA YA KU-ASSUME KUWA HUTOPATA INFO BILA CASE NUMBER?
 
Kwa sentensi hiyo kwenye red huhitaji kujiuliza Chahali ni nani. Ndiyo, anajua nani anayemfuatilia, anajua technics gani wanatumia na anajua endapo atashindwa kuwamudu wanaomfuatilia huenda akadhurika yeye. Nampendea kitu kimoja, ni pro change!

Atakuwa amelikoroga mwenyewe kama alilazimisha "u-double agent". Sasa sijui kama huko uwa kuna kutubu na kusamehewa...


DEBKAfile
Special Report
February 14, 2013, 1:22 PM (GMT+02:00)


Ben Zygier-Alon as a serving IDF soldier


In the murky world of double agents, no one can be sure who serves whom at any given time. Some straw companies also serve many spymasters - whether as their operating method or out of greed. Ben Zygier-Alon's mission has not been revealed, but some leaks suggest he may have been mixed up in this kind of vortex and, instead of jumping out, decided on his own bat to follow through all the way to a certain objective, so sealing his fate and possibly betraying his own masters.




The dark labyrinth of straw companies in which Ben Zygier worked
 
Cha kwanza kukuuliza ni jina la mhusika wa tukio la anuani yake. Case number ni suala la kati ya polisi na mhusika, NA NINAKUHAKIKISHIA HAWATOKUULIZA KUHUSU HILO.wHY NOT TRY, MKUU, BADALA YA KU-ASSUME KUWA HUTOPATA INFO BILA CASE NUMBER?
Sasa mkuu,

Kwanini utumie 'pen name' humu JF? Maana hapa unajibu kama Evarist Chahali lakini jina unajiita "KULIKONI UGHAIB". Mods mnalionaje hili?

cc PainKiller, Paw, Moderator, Cookie, Invisible
 
Last edited by a moderator:
Wacha longolongo zako wewe. Huna hoja hapa!

Bora mimi sina hoja.

Wewe umeshindwa hata kuonyesha mtu asiye na hoja amekosaje hoja. Kitu ambacho kukifanya kwa mtu ambaye hana hoja kweli ni rahisi sana.

Wewe ni mjinga au mvivu.

Inawezekana kabisa ni mjinga mvivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…