Evarist Chahali, hili limenitisha!

hahaha. ila ni vema ungeniuliza kwanza mkuu kabla ya kutoa kejeli hiyo! nina knowledge kidooogo saaana libahatika kuipata bt si unajua haba si haba! lakini it seems una narcissistic personal disorder pia.

Kama una uelewa huo,why waste your time to even read maandiko ya kichaa? Ndugu yangu, uzuri wa JF ni uhuru wa kuandika kila kinachokujia kichwani,lakini kamwe sintoshawishika kuingia kwenye mchezo mchafu wa name-calling.
 
Mikwala mbuzi ni kuwajaribu akili watu kwa kuwaambia wapige simu, halafu ukiombwa case number ili watu wawe detailed, unagwaya.

Wapi nimemwomba mtu apige simu? Niliweka mawasiliano hayo na wahusika kwa kutambua kuwa kuna watakaotafsiri kivyao kuhusu ishu hii,na mawasiliano hayo yalilenga kuwarahisishia kukidhi kiu zao. Sijamjaribu mtu akili kwani haitonisaidia lolote.Anayehisi amejaribiwa akili basi ana matatizo yake binafsi,andI'm not responsible for that.
 

Ama kweli wewe bazazi, couldn't agree more with you.
 

Sihitaji kumshawishi mtu.I repeat, nimetumia haki yangu ya uanachama wa JF kuposti chapisho langu kwenye jarida la Raia Mwema. Kama kuna watu kadhaa wenye uelewa wameelewa pasi mie kufanya chochote cha kuwashinikiza waelewe,kwanini nipoteze muda kumuelewesha mtu mmoja ambaye hata simjui.

Nimemaliza kukupa attention usiyostahili.Ila ukae ukitambua kuwa kamwe siwezi kusalimisha uhuru wangu ninaopata kutokana na kuwa mwana-JF kwa vile tu flani atafura.Kosa moja ninalokiri ni kukupa attention kwa kukjibu,kwani laiti ningekupuuza wala tusingefika hapa.Learnt the lesson a hard way.
 
Mkuu hiyo signature duh!!!! By the way inawezekana katishiwa lakini kama alivyoamua kuliweka wazi angeweka wazi kila kitu ili jumuiya nzima ijue hata akidhurika basi tuwe na pakusemea.

Mkuu, ni vema kutambua mtu akishaamua kuamini 2 na 2 ni 8 basi hata utumie mifano halisi hutoweza kumbadilisha mawazo. Lengo la makala halikuwa kumshawishi mtu anionee huruma au aafikiane nami.Niliandika kwa minajili ya kuhabarisha umma.Lakini kama ilivyo katika makala nyingine, kamwe huwa sipanii kuhakikisha kuwa kila msomaji wa makala husika lazima aafikiane nami.

Na katika kujibu hoja mbalimbali zilizojitokeza hapa, sijanya jitihada yoyote ya kumshawishi mtu aniamini.Kwani walioamini yaliyomkuta Ulimboka wamemsaidiaje hadi sasa?Kuamini kilichomsibu mtu ni kitu kimoja,kuwa na msaada kwa mtu huyo ni kitu kingine.

Kuna "walionunua kesi hiyo" na hawapo hapa kupiga kelele bali wanafanya kile wanachoamini kinapaswa kufanywa.Kama sikuwalazimisha kuniamini na wametokea kuwa wa msaada,kwanini nihangaike kulumbana na mtu anayelumbana for the sake of hearing own voice?
 


Mkuu, if I answer those questions I will first have to kill you...just joking.Kama jasusi kwa maana ya spy in the most correct sense of the term,I'm not.Ninachofanya hapa ningependelea kiendelee kuwa suala langu binafsi.East West home is the best.Nilizaliwa Mtanzania nitakufa nikiwa Mtanzania hata kama sintokuwa na uraia wa nchi yangu (by the way as a global citizen siamini sana katika uraia wa kisheria bali wa kuzaliwa).So to answer your last question,yes, nitarudi nyumbani when the time is right.

Asante kwa salamu zako za heri na karibu kuendelea kusoma makala zangu huko Raia Mwema. Mie si mwandishi,however.I'm simply a conversationalist,namaandishi yangu ni maongezi tu na hadhira yangu kwa kutumia herufi badala ya spoken word.
 
Nashukuru kwa majibu yako na si vizuri nikaendelea kuhoji zaidi otherwise the cat can get out of the bag!!!!
Rest assured binafsi nitaendelea kusoma makal zako kwenye Raia Mwema.
 
Awe kama Jason Bourne hawatamuweza maadam amesema anaweza kazi pia

Hahaha umenikumbusha mbali kweli. Yule jamaa alikuwa noma na kazi alikuwa anaiweza haswaa
 
samahani ndugu sijatumia neno kichaa, wala hayo maneno hayammanishi hivo. mbona una panic sana!
 

Wapi nimeandika umemuomba mtu apige simu.

Nimeandika kwamba umewaabia wapige simu, kwa taarifa zaidi. Kwa maneno yako mwenyewe haya hapa.


Whatever you do, do it well. Or don't do it at all.

Umejitahidi ku project uwazi hapa, lakini umefail hata kabla mtu hajaanza kukuchunguza.

Unaji contradict kwa vitu basic tu.

Unawapa msemo wanaosema huna zaidi ya kutafuta publicity tu.

Au unataka ku split hairs hapa kwamba hujatoa contacts ili wanaotaka kuhakiki na kupata taarifa zaidi waweze?

Sasa kama umeweza kuwapa watu namba wahakiki huko kwenye vyombo vya usalama kwa nini usiwasaidie zaidi kwa kuwapa hiyo case number wanayoitaka?
 

Siwezi kumzuwia mtu anayedhani nina-seek public sympathy au attention.Ninaheshimu uhuru wa mtu kuamini atakavyo.Lakini it doesn't take a genius kuelewa kuwa kama ni publicity basi hizo makala tu za Raia Mwema ambazo, japo sina figure sahihi za readership per week, zinatosha sana kukidhi haja ya publicity, if I were having any.I have over 2,000 followers on Twitter na Blog yangu ina visitors zaidi ya milioni moja (na kwa mujibu wa outerstats.com blog hiyo inatembelewa na wastani wa watu 38,440 kwa mwezi) ,and if that's not enough publicity,then the term publicity has another meaning (natambua utapinga kwa kulinganisha na watu wengine lakini kwa kuwa keyword hapa ni publicity,challenge me that SUCH stats hazitoshi kumridhisha mtu anayesaka publicity,though I'm not)

Sasa,naomba kukupa challenge.Unafahamu 'uongo' wangu,unajua jina langu,una namba ya simu na e-mail address ya kituo cha polisi kinachohusika na tukio hilo.Kwa vile huamini nilichoandika (and I don't have to repeat again kuwa that doesn't bother me at all), kuwa muungwana kwa kupiga simu kituo hicho cha polisi.Ukikumbana na kikwazo chochote kile, wasiliana nami kwa barua-pepe CHAHALI at ABOUTdotME (unaweza kupata email katika kila mwisho wa makala zangu ambazo zinapatikana HAPA ) and you won't have to use your real name if you don't want to.

Badala ya kuendeleza porojo,ifike mahala tufanye mambo kwa vitendo. Badala ya kung'ang'ania tu "tupe case number," why not contact the police first then usikie kama watakutaka uwapatie case number (and I'm sure they won't sio tu kwa vile case haikuhusu wewe lakini kuna waliopiga na kupatiwa details pasi kuulizwa case number). Ninaamini ukiwaeleza polisi husika kuwa unatumia Freedom of Information Act kutaka kujua ukweli wa tukio hilo,watakupatia unachohitaji.Ukishapata,please DO come here again.

And this challenge is not restricted to you only. Yeyote anayedhani anahitaji kufahamu ukweli, anaweza kutumia njia hiyo nyepesi.

Wanasema 'mtoto mpe mwanga amlee' nami sasa nimekuachia jukumu hilo la ku-prove stori hiyo right or wrong.Nitashukuru sana kama your reply to this post haitokuwa porojo zaidi bali facts you'll have got from the police.Ila sihitaji kuwa Sheikh Yahya kuyumkinisha kuwa hata kama polisi watakueleza exactly nilichoeleza,it might have to take more than a lifetime kukuaminisha,and unfortunately, there are more important things in life than convincing you,or anybody else, kuwa I'd be the last person kujichulia janga to achieve something I don't even know.

WAITING....
 
Hii thread bado alive?. Ama kweli mmeamua.

Honest, Kuna kitu fishy hapa kwa jinsi mtiliriko wa comment zilivyo.

Labda niulize swali la msingi. Mkuu KULIKONI UGHAIB mbona hauko kwenye UK electoral roll since 2005-2006.

Kunanipa wasiwasi na status ya stay yako kwa sababu kama una stable living environment lazima uwe kwenye daftali la wapiga kura otherwise nyumba unayoishi itakuwa ni ya kudandia au umebadilisha jina baada ya 2006 kitu ambacho ni questionable if not possible.

Kama thread itaendelea kuwa live, nasi tutaendelea kutaka kujua kulikoni kwa jinsi unavyohimiza watu kuwasiliana na polisi.

Natumaini utajibu swali langu. Thanks
 
Ama kweli wewe bazazi, couldn't agree more with you.

Hukuwa afisa usalama wa taifa wewe?
Hukwenda kusomea shahada ya uzamili na ukaongeza ya uzamivu huko Uskochi
Hukurudi Tanzania na kurudia kazi yako?
Nini kilikuondoa Bongo kurudi Uskochi.
Unajua faida za kuasi taasisi za ujasusi (intelligence)?
Unajua hasara za kuasi taasisi za ujasusi (intelligence)?
Mpaka uanze kubwabwaja lazima unajua ulipojikwaa;
Acha kuleta uzabizabina wako kwa makosa yako binafsi.
Angalia ulipojikwaa na urekebishe.

Bazazi ni Bazazi!
 

Labda kabla ya kuniuliza swali hilo ungejiuliza mtu anaingiaje kwenye Electoral Register. Google au uliza wahusika then usipopata jibu nitakuelewesha.

And why 2005-2006 ilhali huu ni mwaka 2013?

I don't have to remind you that in order to effectively search for info, you first have to know what you actually are looking for.


Who sees the register?

There are two versions. Both are updated monthly.

Full register

The full register lists everybody who is entitled to vote. Anyone can look at it, but copies can only be supplied for certain purposes such as elections and law enforcement.

General viewing

Credit reference agencies can use the register but only to check your name and address if you are applying for credit and to help stop money laundering.

It is a criminal offence for people who receive the full register to pass it on or to use it for any purpose other than that allowed by law.

You can inspect the full register at the electoral office and at three local libraries. It is organised by address and polling district, not by name like a telephone directory, so IF SOMEBODY DOESN'T KNOW WHERE YOU LIVE THEY WILL FIND IT HARD TO FIND YOUR ENTRY IN THE REGISTER.

Staff at the electoral office and in the libraries will not disclose the names or addresses of electors. It is not available to view on our website.

Edited register

This is available for sale to anyone who wants it. When you register to vote, you will be given the option to be included in this version or not.


The opt-out

When registering, please indicate if you do not want your details included in the version of the register that is for sale - the edited register. Opting out of this does not affect your voting rights or credit status.

The full register is available for inspection at the electoral office and at some local libraries, but it can only be copied by hand.


Sasa kama una wasi wasi na status ya stay yangu,kuchungulia kwenye electoral register kutakusaidia vipi?Ili kupata unachotafuta shurti ujue unachokitafuta.Wasiliana na UKBA wakueleze my residential status.

Ili uwe kwenye electoral register shurti ujiandikishe.Lakini hata ujiandikishe sio kila mtu anaweza kuona details zako kwa vile kuna option ya ku-opt out.

Una uhuru wa kuhisi chochote (na kuendelea na uchunguzi wako) kuhusu jinsi ninavyoishi,iwe naishi kwa kudandia au nina maisha stable.I hope uki-find out ukweli hutosita kuuweka hadharani.

Labda huelewi Kiswahili au unajifanya huelewi.Ni WAPI NIMEMLAZIMISHA MTU KUWASILIANA NA POLISI? Hivi kwa busara zako (if I believe you have any) watu wakiwasiliana na polisi itanisaidiaje? Do I have to write in Greek ili uelewe kuwa badala ya kuendeleza HISIA,anayehitaji FACTS awasiliane na wahusika ambao nimeweka contact details zao ili KURAHISISHA- na si KULAZIMISHA/KUSHAWISHI- awasiliane nao?Kama hutaki kujua ukweli,kwanini uendelee kudadisi?Na ukweli hauwezi kupatikana kutoka kwangu smbaye tangu awali unahisi something fishy about.Do your own homework.If you don't,or do,what I'm supposed to do? Commit suicide?

Mtu ameandika 'uongo' lakini japo kuna njia kadhaa za kuthibitisha 'uongo' huo,wenye kiu ya kujua ukweli wanaendeleza hisia badala ya kujibidiisha kutafuta ukweli.

Ukweli ukipatikana si kwa manufaa yangu bali kuridhisha curiosity zenu.You can either continue to suspect/speculate or seek for the facts by and for yourself.


Kila mwenye akili timamu anafahamu nani anabwabwaja. And you know what, kuwa mtumishi wa umma-iwe ya dola au ya kawaida si ushirikina au dhambi flani.

Nilipokuwa mtumishi wa umma huko nyumbani sehemu kubwa ya utendaji wangu ilifanya watu wengi tu kujua kazi ninayofanya.So kwa kuandika kwako hapa si kama you burned someone's cover.

Sihitaji darasa kuhusu hayo usiyoyaelewa.Lakini sikuzuwii kuyaongelea. Ndo thamani ya uhuru
 

When you’re behind a keyboard, it’s much easier to lash out, talk junk and basically act an e-fool because you think no one can see you.

Don't offend a wrong person
 
Eventually,wenye busara wameshauri kuwa ushiriki wangu katika mada hii hautokuwa na tija yoyote kwangu: majadiliano na watu wanaotumia kinga ya fake IDs yana tabia ya kumpa mtu jeuri kusema lolote lile, akiamini kuwa hafahamiki/hatofahamika.

Kwahiyo,I'm over with and out of this topic.Ikitafsiriwa kuwa nimekimbia,so be it.
 

Kweli mkuu wangu time will tell!! Mods mnaweza kufunga huu mjadala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…