How do bloggers act? Did someone ever lied to you that there's a universal standard of blogging?
While there is no standard the zeitgeist points to more accountability and openness, which you faked but shied away from.
You failed to be honest when you invited scrutiny on your case but refused to give the case number. You cannot say a thing about being honest.
I care less what you think about this issue.
You do care very much, you took your time to write a lengthy ballyhoo that is neither here nor there to win my sympathy. So don't tell me you don't care much about what I think. Had that been the case you wouldn't write a sentence, much less invite me to glean some more information.
Afterall, since when I started writing in 1998 I have never ever thought of convincing folks who read my stuff.
Stop flattering yourself. the very act of writing is a yearning for communication and putting your point across. On the other hand, one would be tempted to say that in claiming to not aim at convincing you are convincing me, no wonder you are all over the place.
I always regard myself as a conversationalist, and my articles or blog posts merely my conversations with whoever who bother reading them-in printed form.
You can't be a conversationalist without points. What will you converse about? Mere ramblings? Once you have points, the mere narration of these points is an attempt to make the reader see your point of view.You are already engaged in convincing.
Yes, this JF,and I have been here since 2006, so I very well know all about the doubting Thomases.
And the doubting Thomases are what make the world go round.
Tangu nijiunge na ukumbi huu muda mfupi baada ya kuanzishwa kwake (the current ID is my blog'smembership ID),sijawahi kusaka ridhaa ya mtu-iwe ya kuweka bandiko flani au kufanya bandiko hilo likubaliwe.i tend to follow similar approach in blog posts zangu au makala magazetini.Niombe ridhaa ya msomaji,ili iweje?Nimshikie mtutu aniamini au kukubaliana nami,ili iweje? Whether you believE or not is none of my headaches.
Tatizo si kwamba unasaka ridhaa ama husaki ridhaa (although there is a case to be made kwamba mtu yeyote anayeanzisha blog, hata kama anadai kwa "conversation" anataka ridhaa kwa namna fulani, wasiotaka ridhaa wameuchuna).
Tatizo ni kwamba uko incoherent, inconsistent, unfocused, rambling all over the place. Unaalika watu wa scrutinize kesi yako kama mtu uliye wazi kabisa, watu wakikuomba detail unaaanza longolongo nyiiingi, wewe si unataka watu wa scrutinize kesi yako yote? Mbona hutaki kutoa detail sasa?
Nimeweka bandiko hilo ambalo kimsingi limetokana na makala yangu katika jarida la RAIA MWEMA,mainly because kama mwana-JF nina uhuru wa kuANdika chochote alimradi simtukani au kumkashifu mtu.
Kwa mwerevu, uhuru wa kuandika si sababu ya kuandika. Kuandika kunakuwa protected na uhuru wa kuandika, lakini ukiandika kwa sababu una uhuru wa kuandika then utakuwa na matatizo makubwa kuliko ninavyofikiri. Mimi nina uhuru wa kuvuka barabara iliyo mbele ya nyumba yangu mara mia moja kwa siku. Lakini ukweli kwamba nina uhuru huo hii si sababu ya mimi kuvuka barabara hii back and forth mara mia kwa siku. Ni lazima kuwe na sababu iliyo zaidi ya uhuru huu itakayonisukuma nivuke barabara hii mara mia kwa siku, kama vile ikigunduliwa kwamba nikivuka barabara hii mara mia moja kwa siku nitapata treasure fulani. then hiyo ndiyo itakuwa sababu yangu.
Sasa nimekukuta unavuka barabara mara mia kwa siku, nakuuliza "Kwa nini unavuka barabara hii back and forth mara mia kwa siku" unanijibu kwa sababu nina uhuru wa kuvuka barabara mara mia kwa siku? Utakuwa ama muongo au mjinga, pengine muongo mjinga.
Don't flatter yourself. From your writings you do not posses the requisite intelligence kumkera mtu anayefikiri. Labda guluguja wa kuwinda hapa na pale.
na ninachoweka hapa,hilo ni tatizo lake binafsi,
Kati yako unayeanika matatizo yako katika maisha yako binafsi hapa na kwenye magazeti na wana JF wanaokupa scrutiny unayoitaka, ambayo apparently huiwezi nani ana tatizo binafsi?
na kamwe sintojisumbua kum-badili mtizamo wake.
Hata ungejisumbua uwezo wa kushawishi huna, labda you are giving up on this before even trying because you know you are not up to par.
Mie ni muumini wa mitizamo inayokinzana,
Hapana, umeshatuambia hutaki kushawishi, huwezi kuwa muumini wa mitizamo inayokinzana bila kutaka kushawishi. Hata hao ma buddhist monks wanaokaribia ku achieve perfect equanimity watataka kushawishi watu kwamba njia yao ndiyo nzuri, wewe Chahali umefikia Nirvana gani hiyo ambayo imekuvua haja ya ushawishi. Blog yako imejaa kutaka ushawishi. Contradictions.
alimradi kukinzana huko hakumaanishi kashfa,matusi,kebehi,nyodo au upuuzi mwingine.
Wewe si muumini wa kukinzana, ushaanza kukuwekea mipaka kukinzana. Wewe unafront kuwa muumini wa kukinzana lakini huwezi kuwa muumini wa kukinzana.
To the contrary.I don't have it. You have not made anything clearer. Mpaka sasa naona a bundle of ballyhooing tu.
,how you perceive the story doesn't bother me at all.
If that was the case you wouldn't write the story to begin with. Why bother?
Wenye uelewa wao wameelewa, wenye ligi zao za ubishi wataendelea nazo.
Wewe huna point uliyoandikia, hujataka kushawishi mtu, umeandika some ramblings tu kwa sababu una uhuru wa kuandika, utaelewekaje na yeyote?