Naongeza anapenda Konyagi na Kilimanjaro Lager π«‘Evelyn Salt
You comment like a dude.
You post masculine.
Unabishana kibabe
Simaanishi kwamba wanawake ni weak ila kwa macho yetu ya kiJF unatiki kila box za kuwa boyish
Are u a dude, stud or just a tough lady
ππ Ila Pia haituhusu mambo private ya watu
Uko wapi kwani nije huko huko kukuoneshaUzima wako upo kiumeni au kikikeni?
FaizaFoxy under 40? Mbona umemdharau hivyo? Bora hata ungesema under 60Evelyn Salt ni mama wa makamo mwenye umri chini ya 40.
Kiumri hawajapishana zaidi mwaka yeye na FaizaFoxy
Kama kawaida Yako. Hupitwi.
Kwa sasa nimefarikiUko wapi kwani nije huko huko kukuonesha
π€£π€£π€£π€£π€£Kwa sasa nimefariki
Inasikitisha sana mkuu πWe kenge wa darajani hii ndiyo comment yako yenye akili tangu ujiunge JF
Ule uzi nilikia na ufuatilia mno kwa ID yangu ya zamani sema umeusua na huku maliziaHapo ni wakati nimedumbukia kwenye penzi nayeye!, umenikumbusha mbali mkuu..π€£
kuachwa sio mchezo mkuu..π€£Ule uzi nilikia na ufuatilia mno kwa ID yangu ya zamani sema umeusua na huku malizia
Tomboi huyoEvelyn Salt
You comment like a dude.
You post masculine.
Unabishana kibabe
Simaanishi kwamba wanawake ni weak ila kwa macho yetu ya kiJF unatiki kila box za kuwa boyish
Are u a dude, stud or just a tough lady
ππ Ila Pia haituhusu mambo private ya watu
Polekuachwa sio mchezo mkuu..π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani hujui tabia za wanawake wembamba mkuu alafu awe mweusi
Sauti haiakisi jinsia ya mtu, mtapigwa sanaaa.Kuna interface fulani, Melo akiikamilisha watu wataanza kuchangia Kwa voice note humu
Kwahiyo hakutakuwa na swala la kuanza ku-doubt kuhusu jinsia ya mtu humu maana kupitia voice notes mtaweza kusikia sauti na kujua jinsia ya mchangiaji Moja Kwa moja [emoji847]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha............kwamba bado tutaendelea kupigwa πSauti haiakisi jinsia ya mtu, mtapigwa sanaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii.Hahaha............kwamba bado tutaendelea kupigwa [emoji119]
Bora tumezeeka sasa π€[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii.