Evelyn wa chumvi...

Oyaa au ushaa itwa huko Hollywood ku andika mascript nini.? 😜😜😜
 
Hadi tunasahau story ilikua inahusu nin
 
khaaaaaa au na huyu mwamba katekwa kikwelii
 
This is too much sasa. Alosto inanimaliza!
 
Mtunzi anazingua, hapo ndipo utajua mtu akiwa fisiemu anakuwa mtu wa aina gani, lakini all in all anatupa story bure so tuvumilie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…