Even after loans amounting to $2 bln, CBK Governor projects a tough economic prospects for the 2nd quarter

Even after loans amounting to $2 bln, CBK Governor projects a tough economic prospects for the 2nd quarter

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
CBK Governor Patrick Njorge projects a tough second quarter of the year, as a result of disruptions caused by COVID 19. He however expects recover in most sectors after June this year, if economy reopens


 
What is Tanzania's projected growth amidst this pandemic? Nchi mingi zinaeka wazi expected economic performance., nipe ya LDC kaka., nyie mnaeza poromoka kwasababu uchumi wenyu hauna mizizi dhabiti., revenue in relation na mahitaji yenyu wakati wakawaida imekua haitoshi, sasa leo hii mtakua vipi?
 
What is Tanzania's projected growth amidst this pandemic? Nchi mingi zinaeka wazi expected economic performance., nipe ya LDC kaka., nyie mnaeza poromoka kwasababu uchumi wenyu hauna mizizi dhabiti., revenue in relation na mahitaji yenyu wakati wakawaida imekua haitoshi, sasa leo hii mtakua vipi?
Nyie yenu ingewatosha mngekua mnakopa kila uchwao? Nadhan mngekua mnakopesha jibu unalo.
 
What is Tanzania's projected growth amidst this pandemic? Nchi mingi zinaeka wazi expected economic performance., nipe ya LDC kaka., nyie mnaeza poromoka kwasababu uchumi wenyu hauna mizizi dhabiti., revenue in relation na mahitaji yenyu wakati wakawaida imekua haitoshi, sasa leo hii mtakua vipi?
Wacha kuchekesha wewe, ni nchi gani ambayo uchumi wake upo na mizizi mirefu katika ukanda huu, uchumi wa Tanzania umebebwa na:

1) Kilimo, Uvuvi na Ufugaji: Tanzania ndiyo nchi pekee yenye ardhi kubwa na yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, Tanzania ndiyo nchi yenye ukanda mkubwa wa bahari ya Hindi, na Maziwa matatu makubwa kwa ajili ya Uvuvi, Tanzania ndiyo nchi yenye mifugo mingi nyuma ya Ethiopia.

2) Utalii, katika hili sina sababu ya kuelezea uimara wa utalii wa Tanzania

3) Madini, hapa sihitaji kusema lolote, nadhani unajua kuhusu wingi wa madini Tanzania.

4)Natural gas; Unafahamu wingi wa gesi iliyopo Tanzania.

5) Uzalishaji wa viwandani: Ninadhani unaona ni kiasi gani bidhaa za viwandani za Tanzania zinavyosambaa katika nchi Jirani, kuanzia bidhaa za Azam, Mo, na bidhaa zingine.

6) Usafirishaji; Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi, na Zimbabwe, hutegemea sector ya Usafirisha wa Tanzania kwa zaidi ya 8O% ya bidhaa zao.

Tafadhali taja uchumi wa Kenya umeshikiliwa na "Sectors"zipi ambazo ni strong zaidi ya " Remittances?"
 
What is Tanzania's projected growth amidst this pandemic? Nchi mingi zinaeka wazi expected economic performance., nipe ya LDC kaka., nyie mnaeza poromoka kwasababu uchumi wenyu hauna mizizi dhabiti., revenue in relation na mahitaji yenyu wakati wakawaida imekua haitoshi, sasa leo hii mtakua vipi?
Kenya is a complete failure, yaani pamoja na billions za IMF na zile za World Bank bado hali ni mbaya?

Hebu tueleze hizo pesa zimekwenda wapi in such a short period of time?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utakufa na preassure, a poverty mind can't discuss money matters, you are used to depravity so wherever money is spend u cant fathom, oblivious of the current situation, can't get the context, this is ignorance on steroids. Nenda Dodoma University[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya is a complete failure, yaani pamoja na billions za IMF na zile za World Bank bado hali ni mbaya?

Hebu tueleze hizo pesa zimekwenda wapi in such a short period of time?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
 
And with this covid19 what is the returns? How is tourism?, do you read first to understand ama you jump in like a baboon[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], your economy ni kidogo sana in proportion.., with covid19 hamna lenyu.,
Wacha kuchekesha wewe, ni nchi gani ambayo uchumi wake upo na mizizi mirefu katika ukanda huu, uchumi wa Tanzania umebebwa na:

1) Kilimo, Uvuvi na Ufugaji: Tanzania ndiyo nchi pekee yenye ardhi kubwa na yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, Tanzania ndiyo nchi yenye ukanda mkubwa wa bahari ya Hindi, na Maziwa matatu makubwa kwa ajili ya Uvuvi, Tanzania ndiyo nchi yenye mifugo mingi nyuma ya Ethiopia.

2) Utalii, katika hili sina sababu ya kuelezea uimara wa utalii wa Tanzania

3) Madini, hapa sihitaji kusema lolote, nadhani unajua kuhusu wingi wa madini Tanzania.

4)Natural gas; Unafahamu wingi wa gesi iliyopo Tanzania.

5) Uzalishaji wa viwandani: Ninadhani unaona ni kiasi gani bidhaa za viwandani za Tanzania zinavyosambaa katika nchi Jirani, kuanzia bidhaa za Azam, Mo, na bidhaa zingine.

6) Usafirishaji; Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi, na Zimbabwe, hutegemea sector ya Usafirisha wa Tanzania kwa zaidi ya 8O% ya bidhaa zao.

Tafadhali taja uchumi wa Kenya umeshikiliwa na "Sectors"zipi ambazo ni strong zaidi ya " Remittances?"
 
Wacha kuchekesha wewe, ni nchi gani ambayo uchumi wake upo na mizizi mirefu katika ukanda huu, uchumi wa Tanzania umebebwa na:

1) Kilimo, Uvuvi na Ufugaji: Tanzania ndiyo nchi pekee yenye ardhi kubwa na yenye rutuba kwa ajili ya kilimo, Tanzania ndiyo nchi yenye ukanda mkubwa wa bahari ya Hindi, na Maziwa matatu makubwa kwa ajili ya Uvuvi, Tanzania ndiyo nchi yenye mifugo mingi nyuma ya Ethiopia.

2) Utalii, katika hili sina sababu ya kuelezea uimara wa utalii wa Tanzania

3) Madini, hapa sihitaji kusema lolote, nadhani unajua kuhusu wingi wa madini Tanzania.

4)Natural gas; Unafahamu wingi wa gesi iliyopo Tanzania.

5) Uzalishaji wa viwandani: Ninadhani unaona ni kiasi gani bidhaa za viwandani za Tanzania zinavyosambaa katika nchi Jirani, kuanzia bidhaa za Azam, Mo, na bidhaa zingine.

6) Usafirishaji; Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi, na Zimbabwe, hutegemea sector ya Usafirisha wa Tanzania kwa zaidi ya 8O% ya bidhaa zao.

Tafadhali taja uchumi wa Kenya umeshikiliwa na "Sectors"zipi ambazo ni strong zaidi ya " Remittances?"
Enyewe wewe ni punguani kabisaaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], if your economy was well diverse and wide mngekua na GDP ya maana, lakini GDP ya nchi nzima ni size ya Nairobi vipi wewe?., quantify your annual revenue ya each sector?.,
Rudi shule., sasa hivi almost all sectors globaly are relatively affected by covid19 pandemic.,
 
And with this covid19 what is the returns? How is tourism?, do you read first to understand ama you jump in like a baboon[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], your economy ni kidogo sana in proportion.., with covid19 hamna lenyu.,
Mbona kama unateseka babu!!! Ukweli si huo hapo kwenye uzi...Unajitahidi kutoka nje ya mada ili kuukwepa😅
 
Facts zina uma mitanzania., with covid19 now mtatoka ldc 2050 sio 2025 kama ilivyo tarajiwa, mnajipumbaza tu, masikini hawezi kuonewa wivu, ni kuhurumiwa ama kudharauliwa, any of the two or both[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20161220-WA0011.jpg
 
Enyewe wewe ni punguani kabisaaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], if your economy was well diverse and wide mngekua na GDP ya maana, lakini GDP ya nchi nzima ni size ya Nairobi vipi wewe?., quantify your annual revenue ya each sector?.,
Rudi shule., sasa hivi almost all sectors globaly are relatively affected by covid19 pandemic.,
Naona umechanganyikiwa. Umeambiwa ulete mizizi ya uchumi wa kenya.
 
Naona umechanganyikiwa. Umeambiwa ulete mizizi ya uchumi wa kenya.
Hawezi kukujibu ila according to CBK governor's speech early this week, alilalama jinsi kupungua kwa remittance zitakavyoleta msukomsuko wa uchumi! Kwa hiyo mzizi wa uchumi wa Kenya umejikita kwenye Remittance!
 
Hawezi kukujibu ila according to CBK governor's speech early this week, alilalama jinsi kupungua kwa remittance zitakavyoleta msukomsuko wa uchumi! Kwa hiyo mzizi wa uchumi wa Kenya umejikita kwenye Remittance!
Kwamba uchumi unategemea wasugua vyoo ulaya na watunza wazee wa kizungu [emoji23]
 
Enyewe wewe ni punguani kabisaaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], if your economy was well diverse and wide mngekua na GDP ya maana, lakini GDP ya nchi nzima ni size ya Nairobi vipi wewe?., quantify your annual revenue ya each sector?.,
Rudi shule., sasa hivi almost all sectors globaly are relatively affected by covid19 pandemic.,
Nchi yenye uchumi wenye mizizi haiwezi kutikisika haraka na jitahidi kiasi hiki, umeshasikia nchi yoyote yenye uchumi imara imekimbilia kuchukua Mkopo wa kupambana na Corona?, nchi zenye uchumi imara zimetumia pesa ya ndani kupambana na kuyumba kwa uchumi.

Nchi yenye uchumi imara haiwezi kudegemea chakula cha msaada kila mwaka. Nchi yenye uchumi imara haiwezi kushindwa kusambaza maji hasa katika miji mikubwa kama Nairobi, haiwezi kupata matatizo ya umeme year in year out.

Mnadanganywa na GDP wakati hamna uwezo hata wa kusambaza dawa vijijini matokeo yake wananchi wenu wanaoishi mpakani na Tanzania wanalazimika kuvuka mpaka kuja kutibiwa Tanzania.
 
Facts zina uma mitanzania., with covid19 now mtatoka ldc 2050 sio 2025 kama ilivyo tarajiwa, mnajipumbaza tu, masikini hawezi kuonewa wivu, ni kuhurumiwa ama kudharauliwa, any of the two or both[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1463292
Ninyi mtaendelea kubaki katika kundi la failed state milele, nchi gani ambayo hata chakula inategemea "donations"?
 
Bora Kenya wanasema ukweli. Sisi je tunaoficha kila kitu
 
Back
Top Bottom