Even though , Kenya is a small country , lakin ktk urban roads wametuzidi vibaya

Even though , Kenya is a small country , lakin ktk urban roads wametuzidi vibaya

Kenya is not as small as you put it. The size of Uganda to Kenya can equally relate to that of Kenya and Tanzania. The only difference is that Kenya has a massive economy and more developed.
Sasa kama Tz ni Kenya, Ug, Rwanda, Burundi na bado nafasi inabaki, Kenya is small.
 
Mkuu uongo huu. Hebu tuanfalie ba zile flyover zao zingejenga km ngap huku kwetu
Gharama ya kujenga Daraja moja tu la Mwal Nyerere (Kigamboni) inatosha kujenga bara bara za Nairobi yote. Cjui unaongea nini! Daraja limegharimu bilioni 150. Km moja ya lami ni bilioni moja. So lile daraja lingeweza jenga km 150 za lami. Nby haina km 150 za lami main roads...
Of which Thika highway ni km 50. So gharama ya Kigamboni bridge ingeweza jenga six track road of 50 km just like Thika.
 
Uchumi ulioimara ni kigezo kikuu kinachosukuma uwekezaji katika miradi ya miundombinu. Rwanda na Kenya zimeweza kuwekeza katika miundombinu bora si tu kwamba nchi zao ni ndogo, bali wanauchumi ulioimara.. Wakati mwingine idadi ya watu na ukubwa wa nchi huchangia maendeleo hapa namaanisha average area per person, kama nchi ina eneo kubwa halafu halikaliwi na watu na halitumiki kwa shughuli zozote za kiuchumi hapo ni ngumu kufikia uwekezaji bora wa miundombinu hasa barabara tofauti na nchi ambazo msongamano wa watu ni mkubwa..mfano; Km 1 ya lami Tanzania utahudumia watu wachache sana ukilinganisha na Km 1 ya lami nchini Rwanda au Kenya.Uwekezaji kutokana na Makusanyo ya kodi ya nchi kama Rwanda au Kenya yanaweza kuleta maendeleo kwa watu wengi kuliko Tanzania hasa kwenye miradi kama Maji na barabara...point yangu ni wastan wa eneo linalokalowa na mtu mmoja.
 
Kenya is a just Tiny country when compared to Tz lakin interm of infrastructure wamejitahidi sana wana barababara pana kuzidi home tz , Ma engineers wa Tz wanakwama wapi mwanza and Dar deserve to have 8 lane roads not just double roads as it is
Uchumi mliachiwa na Mjomba wenu mwingereza. Mnafuraia uridhi. Tafuteni wenu
 
Mzee small country ni easy to manage angalia rwanda huko
Na sisi ingekua nchi ndogo barabara za flyover zingekuwepo hata za morogoro to dsm
Kwa excuses na visingizio hamjambo!
 
Acha Upumbavu wewe....150 billion Tsh Money is equivalent to 7.5billion Kenyan Money.....Not even enough to construct 10km avenue in Nairobi....Please when you reason,stop reasoning with your anus!!
Alisahau alikuwa anaongelea pesa za madafu Tsh, sio KSH
 
Thika road bei yake ni bilioni mia sita pesa za Tanzania, Yaani 30 billion Kenya shillings. Thika road bei yake ni mara nne ya kigamboni bridge. Hamtuwezi nyie.
Kenya ni nchi ya wakora. The price of everything is inflated to con an ordinary Kenyan!
 
Thika road ya laini nane ni vigumu nyie kujenga T.Z na mkiweza nitawapa heshima yote.
Tupo tunajenga ya njia nane. Three lanes each side plus a separate feeder/ service road on each side of a prime road. It starts from Kimara to Kibaha.
 
Kibaha highway ni 12lanes
Mwenzako anasema ni 8 lanes of which nishamkosoa na kumweleza hizo ni 6 lanes with a service road on each side wewe tena unasema hiyo barabara ni 12 lanes! Sasa nani anasema ukweli kati yenu wawili ama kuhesabu lanes ndo hamjui?
 
Mwenzako anasema ni 8 lanes of which nishamkosoa na kumweleza hizo ni 6 lanes with a service road on each side wewe tena unasema hiyo barabara ni 12 lanes! Sasa nani anasema ukweli kati yenu wawili ama kuhesabu lanes ndo hamjui?
Izo service lanes za daladala na wanaotoka major roads ziko kuanzia kibaha hadi kimara kwann uzitoe?
Katika izo 8lanes of which 3each sides kwa magari ya aina zote na 2lanes dedicated kwa buses za mikoani zitazotoka mbezi bus terminal and the likes
 
Hawa jamaa bhana, Kenya ina ukubwa wa 580.4 Square km na population about 50M. Aidha, TZ ina ukubwa wa 947.3 square km na population ya takribani 56M.

Sasa how come nchi kubwa lote hilo unaita a tiny country compared to Tanzania wakati Kenya ni 61.3% the size of Tanzania huku mkizaliana kama bata na kuwa na idadi ya watu ambayo ni 89% ya population ya Tanzania?!

Kenya sio tiny country! Mnaona ni tiny country kwa sababu mafisadi akina Kenyatta wamejimilikisha maeneo makubwa ya nchi yenu huku nyie vimaskini mkiishi kama Watwana kwenye nchi yenu wenyewe!!

Sababu nyingine mnaona ni tiny country ni kwa sababu mnaziliana kama bata matokeo yake mnatusumbua Watanzania kuyalisha matumbo yenu kwa sababu mnaendekeza uchi na kuzaliana hovyo hovyo wakati ardhi ya kulima hamna yote inamilikiwa na akina Kenyatta!!
 
Hawa jamaa bhana, Kenya ina ukubwa wa 580.4 Square km na population about 50M. Aidha, TZ ina ukubwa wa 947.3 square km na population ya takribani 56M.

Sasa how come nchi kubwa lote hilo unaita a tiny country compared to Tanzania wakati Kenya ni 61.3% the size of Tanzania huku mkizaliana kama bata na kuwa na idadi ya watu ambayo ni 89% ya population ya Tanzania?!

Kenya sio tiny country! Mnaona ni tiny country kwa sababu mafisadi akina Kenyatta wamejimilikisha maeneo makubwa ya nchi yenu huku nyie vimaskini mkiishi kama Watwana kwenye nchi yenu wenyewe!!

Sababu nyingine mnaona ni tiny country ni kwa sababu mnaziliana kama bata matokeo yake mnatusumbua Watanzania kuyalisha matumbo yenu kwa sababu mnaendekeza uchi na kuzaliana hovyo hovyo wakati ardhi ya kulima hamna yote inamilikiwa na akina Kenyatta!!

Uswahili nyingi tu na hakuna chochote unasema
 
Acha Upumbavu wewe....150 billion Tsh Money is equivalent to 7.5billion Kenyan Money.....Not even enough to construct 10km avenue in Nairobi....Please when you reason,stop reasoning with your anus!!
Umetukana mwenzako matusi mob, na ng'ombe wenzako wamekupea like za kutosha[emoji16][emoji16][emoji16].

Kwani 1km=ni Ksh how much??? Ili tujue.
 
Back
Top Bottom