Even though , Kenya is a small country , lakin ktk urban roads wametuzidi vibaya

Even though , Kenya is a small country , lakin ktk urban roads wametuzidi vibaya

Umetukana mwenzako matusi mob, na ng'ombe wenzako wamekupea like za kutosha[emoji16][emoji16][emoji16].

Kwani 1km=ni Ksh how much??? Ili tujue.
It's not a fixed figure....depends with a lot of factors......
 
With higher hunger rates
60% of Kenya is actually semi desert. In reality, the economy of Kenya is concentrated on a 40% area but its still ahead of Tanzania [emoji23]. Once the Northern corridors are finally opened. Kenya should be 10 times richer than Tz. The Turukana road is almost being linked to Sudan and oil is still piling up. Tanzania mko na population,fertile land, longer coastline, and Minerals na bado mnakaliwa na Kenya with corruption, Terrorist attacks, IDPs....etc. You should be ashamed of your government.
 
60% of Kenya is actually semi desert. In reality, the economy of Kenya is concentrated on a 40% area but its still ahead of Tanzania [emoji23]. Once the Northern corridors are finally opened. Kenya should be 10 times richer than Tz. The Turukana road is almost being linked to Sudan and oil is still piling up. Tanzania mko na population,fertile land, longer coastline, and Minerals na bado mnakaliwa na Kenya with corruption, Terrorist attacks, IDPs....etc. You should be ashamed of your government.
Tz sehemu kubwa ni misitu Yaani hapaishi watu,Mji mkubwa Ni dar ndio kumeendelezwa kwa ukubwa sana lakini miji mingine ni midogo tu,
Tumia akili yako vizur huna haja ya kua na fertile land kubwa ndio uwe umeendelea bali Ni matumizi sahihi ya eneo ulilonalo tu ndio inamake sense, Sasa ukisema kenya ni kame Egypt wao wasemeje?
Kenya mna ardhi kubwa sana hamjaiendeleza
 
Usijifanye hujui Kiswahili wewe wakati English yenyewe umeijulia shuleni! "Uswahili nyingi" ndo nini! Yaani ujue kuandika "hakuna chochote" halafu ushindwe kuandika "Uswahili mwingi"?! Acheni habari zenu nyie walamba miguu wa Mkoloni!

Na sasa nyie walamba matako Waarabu mko na nini ya kutuambia. Si Afadhali mikate imgezaliwa kuliko vindushina kama nyinyi
 
Na sasa nyie walamba matako Waarabu mko na nini ya kutuambia. Si Afadhali mikate imgezaliwa kuliko vindushina kama nyinyi
Ushawahi kukuta Watanzania wakishobokea kuongea au kujifanya wanajua sana Kiarabu kuliko lugha zao za asili kama mnavyofanya nyie kujitia mnakijua sana Kiingereza wakati mkiongea accent mzito kana kwamba mnaongea Kijaluo! Yaani nyie watu ni watumwa wa fikra! Hakuna lugha hata moja ambayo mnaweza kusimama hadharani na kujigamba kwamba nyie ndo wataalamu wa lugha husika! Manake, ukichukua English, Uganda wanawazidi: mkirudi kwenye Kiswahili, Watanzania wanawashinda; na matokeo yake; mpo mpo tu!! Msidharau Kikuyu, Kijaluo and the like cuz' mpo vizuri kwa hizo lugha za babu zenu kuliko mlivyo kwa lugha ya Mkoloni aliyetandika bakora na risasi babu zenu!
 
60% of Kenya is actually semi desert. In reality, the economy of Kenya is concentrated on a 40% area but its still ahead of Tanzania [emoji23]. Once the Northern corridors are finally opened. Kenya should be 10 times richer than Tz. The Turukana road is almost being linked to Sudan and oil is still piling up. Tanzania mko na population,fertile land, longer coastline, and Minerals na bado mnakaliwa na Kenya with corruption, Terrorist attacks, IDPs....etc. You should be ashamed of your government.
Na 40% yenyewe karibu yote inashikiliwa na akina Kenyatta and the like na ndio hao wanaoushikilia huo uchumi huku akina nyie mkibaki kutamba mitandaoni wakati hata nusu eka za kulima mahindi ya kuwalisha wenyewe hamna na matokeo yake mmeamua kufunga pingu za maisha na baa la njaa!! Akina Kenyatta na wenzake wanalima chai ili waingize pesa na kuwaacha nyie kuwategemea Watanzania wawalishe! Tukianzisha utaratibu wa kubadilisha mahindi na wanawake, ndani ya miaka 3; mademu wenu wote tutakuwa tunawazalisha huku kama tunavyowazalisha akina Tanasha!
 
Na 40% yenyewe karibu yote inashikiliwa na akina Kenyatta and the like na ndio hao wanaoushikilia huo uchumi huku akina nyie mkibaki kutamba mitandaoni wakati hata nusu eka za kulima mahindi ya kuwalisha wenyewe hamna na matokeo yake mmeamua kufunga pingu za maisha na baa la njaa!! Akina Kenyatta na wenzake wanalima chai ili waingize pesa na kuwaacha nyie kuwategemea Watanzania wawalishe! Tukianzisha utaratibu wa kubadilisha mahindi na wanawake, ndani ya miaka 3; mademu wenu wote tutakuwa tunawazalisha huku kama tunavyowazalisha akina Tanasha!
bwahahaaaa!!yani mtanzania hafikirii kitu chengine zaidi ya mahindi,mihogo nk..ndio nanake watoto wenu wanaumia sana na utapia mlo ..tatizo ni lishe bora hawapati...kisa mihogo asubuhichana na jioni...elimikeni...mahindi ni chakula cha kupea watu waliokumbwa na baa la njaa wakati wa ukame ndio angalau wapate mlo...wewe unakuja na hekaya za mahindi..

yani mi nisipande matikiti maji nipande mahindi ndio yaozee ghalani...kwn naumwa nn....
 
bwahahaaaa!!yani mtanzania hafikirii kitu chengine zaidi ya mahindi,mihogo nk..ndio nanake watoto wenu wanaumia sana na utapia mlo ..tatizo ni lishe bora hawapati...kisa mihogo asubuhichana na jioni...elimikeni...mahindi ni chakula cha kupea watu waliokumbwa na baa la njaa wakati wa ukame ndio angalau wapate mlo...wewe unakuja na hekaya za mahindi..

yani mi nisipande matikiti maji nipande mahindi ndio yaozee ghalani...kwn naumwa nn....
Tunazungumzia sana suala la mahindi kwa sababu ni taifa la malofa tu duniani ndilo linaweza likawa linakumbwa na njaa kila mwaka! Liwake jua, mnakumbwa na njaa, inyeshe mvua bado mnakumbwa na njaa! Sasa kama sio ulofa tuite nini?

Aidha, tunazungumzia mahindi kwa sababu sisi sio malofa kama nyie ambao badala ya kutuambia ordinary Kenyans wana nini; mnaishia kutamba na vitu kama Safaricom ambayo % kubwa ya shares zake zipo kwa wageni na nyingine zikiwa zinaliwa na mafisadi serikalini!! Badala ya kutambia madini ambayo pesa yake kwa kiasi kikubwa anachukua Mzungu, sisi tunatambia mahindi kwa sababu yanazalishwa na Mtanzania maskini!!

Kwamba eti mahindi ni chakula cha watu waliokumbwa na baa njaa; hivi unaweza kutuambia hapa chakula kikubwa cha Kenya nini?! Acheni mbwembwe nyinyi wakati ni mimaskini tu ya kutupwa! Ukweli ni kwamba, maskini wa Kenya yupo kwenye hali ngumu marudufu kuliko maskini wa Tanzania ambae anaweza kuamua kulima angalau kwa kujikimu! Maskini wa Kenya hata hiyi option hana kwa sababu kiasi kikubwa cha ardhi mzuri kimechukuliwa na mafisadi akina Kenyatta!
 
Tunazungumzia sana suala la mahindi kwa sababu ni taifa la malofa tu duniani ndilo linaweza likawa linakumbwa na njaa kila mwaka! Liwake jua, mnakumbwa na njaa, inyeshe mvua bado mnakumbwa na njaa! Sasa kama sio ulofa tuite nini?

Aidha, tunazungumzia mahindi kwa sababu sisi sio malofa kama nyie ambao badala ya kutuambia ordinary Kenyans wana nini; mnaishia kutamba na vitu kama Safaricom ambayo % kubwa ya shares zake zipo kwa wageni na nyingine zikiwa zinaliwa na mafisadi serikalini!! Badala ya kutambia madini ambayo pesa yake kwa kiasi kikubwa anachukua Mzungu, sisi tunatambia mahindi kwa sababu yanazalishwa na Mtanzania maskini!!

Kwamba eti mahindi ni chakula cha watu waliokumbwa na baa njaa; hivi unaweza kutuambia hapa chakula kikubwa cha Kenya nini?! Acheni mbwembwe nyinyi wakati ni mimaskini tu ya kutupwa! Ukweli ni kwamba, maskini wa Kenya yupo kwenye hali ngumu marudufu kuliko maskini wa Tanzania ambae anaweza kuamua kulima angalau kwa kujikimu! Maskini wa Kenya hata hiyi option hana kwa sababu kiasi kikubwa cha ardhi mzuri kimechukuliwa na mafisadi akina Kenyatta!
bwahahaaa!!naona umetema povu...hadi ukataja safaricom,bado mahindi ukayataja...usiwe na hasira...tanzania kuwa na maskini wengi katika ukanda huu wakenya haituhusu,tanzania kuwa na middle class ndogo km piriton wakenya haituhusu,tanzania kuwa ldc haituhusu pia....

bwahahaaa!!kw povu hilo...kweli imekuuma...na watoto wenu wataendelea kuwa na utapi wa mlo hadi muanze kupiga lishe bora...

malofa pekeake ndio wanalinganisha county ya turkana yenye ukame na nchi ya asali na maziwa kuhusu uhaba...nikuulize lini magufuli kalisha hata kata hko kwenu na wakati mna chakula kingi..mahhara yake watoto ni kule kinyesi
 
Tunazungumzia sana suala la mahindi kwa sababu ni taifa la malofa tu duniani ndilo linaweza likawa linakumbwa na njaa kila mwaka! Liwake jua, mnakumbwa na njaa, inyeshe mvua bado mnakumbwa na njaa! Sasa kama sio ulofa tuite nini?

Aidha, tunazungumzia mahindi kwa sababu sisi sio malofa kama nyie ambao badala ya kutuambia ordinary Kenyans wana nini; mnaishia kutamba na vitu kama Safaricom ambayo % kubwa ya shares zake zipo kwa wageni na nyingine zikiwa zinaliwa na mafisadi serikalini!! Badala ya kutambia madini ambayo pesa yake kwa kiasi kikubwa anachukua Mzungu, sisi tunatambia mahindi kwa sababu yanazalishwa na Mtanzania maskini!!

Kwamba eti mahindi ni chakula cha watu waliokumbwa na baa njaa; hivi unaweza kutuambia hapa chakula kikubwa cha Kenya nini?! Acheni mbwembwe nyinyi wakati ni mimaskini tu ya kutupwa! Ukweli ni kwamba, maskini wa Kenya yupo kwenye hali ngumu marudufu kuliko maskini wa Tanzania ambae anaweza kuamua kulima angalau kwa kujikimu! Maskini wa Kenya hata hiyi option hana kwa sababu kiasi kikubwa cha ardhi mzuri kimechukuliwa na mafisadi akina Kenyatta!
Ongezea hapo kuwa Tz mtu akishindwa kabisa maisha huwa anapewa ushauri kuwa "rudi kijijini ukalime" sababu aridhi ni bei chee kabisa
 
Endeleeni kujenga barabara hadi Lake Turkana huku njaa ikiwatafuna. Hatupo kwa ajili ya mashindano na Wakenya. Tunaishi maisha yetu.
maisha yenu ya taabu na ukosefu wa ajira, yaani bado mko nyuma sana tz
 
Kiswahili chenyewe hujui,usichafue lugha.
yaani soko la mitumba kenya limejaa wachaga, karibia asilimia 90 hii inaonyesha tz kuna changa moto sana na uchumi una fifia mno, ndio maana utaona mtu yuaja kenya kuuuza mitumba, wa chaga hao.

Ukienda wanaoomba barabarani kwa mitaa ya kenya ...utashangaa kwani wote ni wa tz. halafu ukiwaambia kuhusu uchumi wao wanaanza kubishana, mnasikitisha sana
 
Tz sehemu kubwa ni misitu Yaani hapaishi watu,Mji mkubwa Ni dar ndio kumeendelezwa kwa ukubwa sana lakini miji mingine ni midogo tu,
Tumia akili yako vizur huna haja ya kua na fertile land kubwa ndio uwe umeendelea bali Ni matumizi sahihi ya eneo ulilonalo tu ndio inamake sense, Sasa ukisema kenya ni kame Egypt wao wasemeje?
Kenya mna ardhi kubwa sana hamjaiendeleza
Msitu gani daddy? mimi nishatembea tz, mna ardhi kubwa na watu ni wengi, lakini bado mna umaskini, hii ni kwa sababu ya uvivu na roho chafu. wa tz mna roho chafu sana huku mnajidai eti nyie ni wakarimu, hampendi wageni kwenu na hii imewadhulumu sana kiuchumi.
Jambo la pili ni ule upuzi wa ujamaa eti tusaidiane kiundugu, hili liliwarudisha nyuma sana, watu kukaa tu na kusubiri msaada kutoka kwa kaka blaza.
wakenya sisi huamka mida ya saa kumi alfajiri wakati huo nyinyi wa tz ndio huwa mwaenda kulala baada ya kunywa kahawa tungu usiku kucha mkipiga stories za kaka sungura, halafu mnataka kushindana nasisi kiuchumi ,
hamuwezi aiseee
 
Msitu gani daddy? mimi nishatembea tz, mna ardhi kubwa na watu ni wengi, lakini bado mna umaskini, hii ni kwa sababu ya uvivu na roho chafu. wa tz mna roho chafu sana huku mnajidai eti nyie ni wakarimu, hampendi wageni kwenu na hii imewadhulumu sana kiuchumi.
Jambo la pili ni ule upuzi wa ujamaa eti tusaidiane kiundugu, hili liliwarudisha nyuma sana, watu kukaa tu na kusubiri msaada kutoka kwa kaka blaza.
wakenya sisi huamka mida ya saa kumi alfajiri wakati huo nyinyi wa tz ndio huwa mwaenda kulala baada ya kunywa kahawa tungu usiku kucha mkipiga stories za kaka sungura, halafu mnataka kushindana nasisi kiuchumi ,
hamuwezi aiseee
Hizi no hadithi tu unaweza kuamka hata saa 9 ukitaka lakin usitoboe...
Waliolala waache walale lakin Tz haijalala
 
Hizi no hadithi tu unaweza kuamka hata saa 9 ukitaka lakin usitoboe...
Waliolala waache walale lakin Tz haijalala
Mnelala bana na tusibishane
Hizi no hadithi tu unaweza kuamka hata saa 9 ukitaka lakin usitoboe...
Waliolala waache walale lakin Tz haijalala
Mmelala bana ....hii kubishana yenu ina warudisha nyuma sana. Kubali ya ishe
 
Izo service lanes za daladala na wanaotoka major roads ziko kuanzia kibaha hadi kimara kwann uzitoe?
Katika izo 8lanes of which 3each sides kwa magari ya aina zote na 2lanes dedicated kwa buses za mikoani zitazotoka mbezi bus terminal and the likes
Hakuna siku service lane imewahi hesabiwa kama lane, unless danganyika is going to be the first country to do so. If that is the case, then we can comfortably say that Thika road is a 16-lane highway. Wachane kulazimisha mambo ambayo yako hadi na general rules
 
Tz sehemu kubwa ni misitu Yaani hapaishi watu,Mji mkubwa Ni dar ndio kumeendelezwa kwa ukubwa sana lakini miji mingine ni midogo tu,
Tumia akili yako vizur huna haja ya kua na fertile land kubwa ndio uwe umeendelea bali Ni matumizi sahihi ya eneo ulilonalo tu ndio inamake sense, Sasa ukisema kenya ni kame Egypt wao wasemeje?
Kenya mna ardhi kubwa sana hamjaiendeleza
Hata Central Tanzania kuna ukame pia. Tanzania watu wamesambaa nchi nzima ila Kenya wamerundikana kusini mwa nchi yao. Kaskazini pako ovyo balaa.
 
Hata Central Tanzania kuna ukame pia. Tanzania watu wamesambaa nchi nzima ila Kenya wamerundikana kusini mwa nchi yao. Kaskazini pako ovyo balaa.
yote tisa bado kenya tupo juu ya tanzania kwa kila kitu isipokuwa akili ndogo, uvivu na wivu
 
Izo service lanes za daladala na wanaotoka major roads ziko kuanzia kibaha hadi kimara kwann uzitoe?
Katika izo 8lanes of which 3each sides kwa magari ya aina zote na 2lanes dedicated kwa buses za mikoani zitazotoka mbezi bus terminal and the likes
Kibaka/Kibaha haijatoka 20%?? Hela hamna??
 
Back
Top Bottom