Everton already in Tanzania

Everton already in Tanzania

Jhaxan

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
403
Reaction score
191
Another Kiki imeshuka kwa bongoland "THE LAND OF THE KILIMANJARO, SERENGETI AND ZANZIBAR" baada ya klabu kutoka nchini Uingereza kutia timu Dar es Salaam katika tour yao ya kujiandaa na ligi chini ya udhamini bashasha kabisa wa sportpesa..... Ni fursa nyingine kabisa ya kuitangaza THE heart of Africa to the world kupitia vivutio nambari moja barani Afrika tulivyo navyo hivyo basi WaTz tujitokeze kwa wingi National stadium "TUWAKOMESHE HAO WANAOPENDA CHOKOCHOKO i.e KE"
19955318_1307539159294605_5501981452683706368_n.jpg
19984253_506283016370595_8059882992849387520_n.jpg
 
Picha please!!!!!!

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Mapicha mapicha tupeni za wale waliotembelea Manyara
 
sasa kama makao makuu ya sportpesa yapo Kenya kwanini Everton waje Tz??

hapo utajua ipi ni nchi ya hovyo hovyo
So kila kitu siasa mkuu mda mwingine muuache kutapika ovyo

Sent from my IPhone-7 using JamiiForums mobile app
 
Hao Everton wanacheza na timu toka wapi? akili kichwani
 
Back
Top Bottom