Acha kebehi kama ujui ni bora kuuliza kitusasa kama makao makuu ya sportpesa yapo Kenya kwanini Everton waje Tz??
hapo utajua ipi ni nchi ya hovyo hovyo
So kila kitu siasa mkuu mda mwingine muuache kutapika ovyosasa kama makao makuu ya sportpesa yapo Kenya kwanini Everton waje Tz??
hapo utajua ipi ni nchi ya hovyo hovyo
Kumbe ni profeseli HarrisonView attachment 540170Hapo wyne Rooney akiteta jambo na Waziri wa michezo profesa Harrison mwakyembe in Dar es Salaam
Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
Hmm.. Mmesha anxa sasa..Rooney hapo kawakilisha mpaka Man utd...
Hapo sasa umekutana na mzungu!View attachment 540170Hapo wyne Rooney akiteta jambo na Waziri wa michezo profesa Harrison mwakyembe in Dar es Salaam
Sent from my SM-N920P using JamiiForums mobile app
wewe unachojua ni nini ??Acha kebehi kama ujui ni bora kuuliza kitu
kwanini unajibu matapishi huna kinyaa??So kila kitu siasa mkuu mda mwingine muuache kutapika ovyo
Sent from my IPhone-7 using JamiiForums mobile app
Mtu mzima ongea vitu ambavyo una uhakika navyo sio unaongea tu ili mradi umeongeawewe unachojua ni nini ??
kwanini unajibu matapishi huna kinyaa??
mtu mzima nanyolea panga?Mtu mzima ongea vitu ambavyo una uhakika navyo sio unaongea tu ili mradi umeongea
Sent from my IPhone-7 using JamiiForums mobile app