Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Lack of
Lack of dispute,and this is how nincompoops like you do when they lack content.

Let me just ignore you and save myself from time wastage.
You better do this, I have zero tolerance towards imbeciles.
 
Unajua nani alienda kuomba ceasefire? Kasome report ya vita hii ipo american army forces library kila kitu kipo wazi watakwambia nani alidunda hadi akaenda kuomba ceasefire UN
Sasa hivi Kuna mapigano pia kati ya IDF na Hezbollah niambie idadi ya IDF na wanamgambo wa Hizbullah waliokufa mpaka sasa na hapo sio full scale war ni rasha rasha tu sikuambii wakiamua kuingia mazima Lebanon.
 
Sasa hivi Kuna mapigano pia kati ya IDF na Hezbollah niambie idadi ya IDF na wanamgambo wa Hizbullah waliokufa mpaka sasa na hapo sio full scale war ni rasha rasha tu sikuambii wakiamua kuingia mazima Lebanon.
Unadhani israel hapendi kuingia mazima na kuwamaliza hezbollah ???
 
K
Unadhani israel hapendi kuingia mazima na kuwamaliza hezbollah ???
Vita ni mahesabu kijana na sio kukurupuka tu , wanachofanya Hizbullah ni kutaka kuwaondoa Israel kwenye malengo Yao, Subiri wamalize kazi pale Gaza ndio uje uulize hilo swali.
 
waislam ni magaid mmeua huko msumbiji , somalia , sudan , libyia hata nigeria , yeyote atayejitoa kuwadhibit bas tutamuunga mkono tu
 
Huhitaji kuwa na Phd kutambua hilo ubalozi tu ulipigwa watu wakalipiza na missile na madrone 300 sasa ikigundulika ni hivyo unategemea nini ??kama huna think tank jiwekee basi hata think kibakuli ili uweze kuanalyse mambo ya ulimwengu.
300 halaf hakuna kifo ila Idf wakarusha drone 1 ikaua mtu mmoja
 
Ona unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?

Naomba majibu tafadhali.
sawa Gaza imependeza sana na kuwa jiji la kisasa baada ya oct 7
 
vice versa is true
Sure, the only place where Israel doesn't have full control is Gaza, that's why the operation is still going on. The rest of the world is already under Jews control.
 
sawa Gaza imependeza sana na kuwa jiji la kisasa baada ya oct 7
Mmekosa hoja ya kujibu hayo maswali!?
Hata Lebanon 2006 iliharibiwa sana majengo ila Israel ikashindwa kuiteka Jubeir na ikashindwa kuokoa mateka askari wao wawili.
 
Yani ni sawa vita vya second congo war. Rwanda na Uganda walivamia drc kwa ajiri ya kumuondoa kabila.
Mwishowe wakakutana na ukuta wa Angola na Zimbabwe.
Operations ilifeli 100% walipigana ila congo walikufa raia 5 million.
Na mali nyingi kuharibiwa.
Lkn Operations ya rwanda na Uganda ilifeli.
Na mwishowe rwanda wenyewe waliamua kuondoka
 
Eiwaa exactly 100%.
Maana Israel alifosi kuokoa askari watatu wakafa wakabaki wawili.
Na kuikalia Jubeir akafeli.
Mateka akaja kupewa kwa masharti baada ya ceasefire ambako sharti moja wapo ilikua kuondoa marine blocade kusini mashariki mwa bahari ya Lebanon kama sijakosea location.
 
K
Vita ni mahesabu kijana na sio kukurupuka tu , wanachofanya Hizbullah ni kutaka kuwaondoa Israel kwenye malengo Yao, Subiri wamalize kazi pale Gaza ndio uje uulize hilo swali.
Kumbe unajua hao israel hawana jipya kivita hiko kodogo na hamas kimeshaonyesha madhaifu yao ,dunia nzima imeona they are weak , they deend too much on usa, france,uk and germany wao kama wao ni weupe sana
 
Kumuua rais siyo kazi ngumu sana inapofanywa na nchi nyingine ...swala lengo lao la kisiasa litatimia ....nikama urussi ingetaka kumuua Zelensky wangesha fanya hivyo toka kitambo kabla ya kuweka mafichoni na USA
Urusi ipi ingemuua zelensky hii msafara wa km60 uliteketezwa pale kiev ama. Basi putin nae kumuua ni rahisi
 
Iran imeumizwa sana Muelewe Viongpzi Wazuri hawaokotwi kama maembe nchi kama Tz nayumba sana kwa kuwa Hatuna Viongozi Wazuri unakua na akina Mnauye sasa unategemea ufanye nn??

Ukiangalia Kassim Souleiman aliuwawa lile lilikua pigo kubwa sana..Badaae Mohamed Reza...Mohamed Hadji wakauwawa na Israel...

Sasa Rais Wa Nchi na Waziri wake wa Mambo ya Nje wote Waandamizi wanauwawa manake nchi itayumba mana vifo hivi hata Plan ya kurithisha madaraka inakua ngumu sana..

Naamini Ayatolla atakua na maumivu makali sana kwa kuwa sasa yuko mwenyewe tu...Ni jambo Gumu.

Bora Wamlete Ahamed Nejad atushikie nchi ile tujipange..
 
Iran hawa wenye ndege kuukuu na drones za mwanaserere hawana kitu maalim.Ukiendelea kuwatetea utakufa na sonona.Once again poleni na msiba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…