Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Sasa wewe unaona mwenye hasara nani hapa.
Maana vita vilipogwana Lebanon.

Na ni kama congo tuu na rwanda.
Mwenye hasara nani hapo.

Yani hapo sawasawa na congo wafurahi kufeli kwa misheni ya rwanda na Uganda. Ila congo walikufa 5 million na miundombinu kuharibiwa
 
Nadharia njama haziepukiki kwenye tukio hili.
 
Kwa macho ya kawaida hasara itaonekana upande wa Lebanon kwa vifo na uharibifu wa miundombinu.
Ila kwa macho ya kimkakati Israel imekula hasara.
Maana ili deploy resources nyingi sana na kitumia bajeti kubwa kufinance annexation ya bint jubeir na uvamizi wa Lebanon.
Kama unaona tofauti nirekebishe upeo wangu umeishia hapo.
 
Nadharia njama haziepukiki kwenye tukio hili.
Proved sitegemei wewe na ufahamu wako mkubwa ulio nao uwe mtu anayeamini in the "Conspiracy Theory Concept," waachie watu wenye ufahamu mdogo concept hizo.Hao tunawasamehe bure, kwa kuwa kuwajui who coined the concept and why.Sasa wewe tena Proved,aa...,no sikutegemea.
 
300 halaf hakuna kifo ila Idf wakarusha drone 1 ikaua mtu mmoja
Lengo halikuwa kifo kama lengo ilikuwa kupigwa missile.na kuua wasingetangaziwa 72hours earlier hii nj dharau unatangaziwa unapigwa halafu unapigika lengo ilikuwa kufikisha ujumbe mujarabu bila kuescalate ila watu sasa walivyotetemeshwa hahahaaaa
 
Vipi iron dome inalinda merkava tank walichapwa walichapwa
 
Lengo halikuwa kifo kama lengo ilikuwa kupigwa missile.na kuua wasingetangaziwa 72hours earlier hii nj dharau unatangaziwa unapigwa halafu unapigika lengo ilikuwa kufikisha ujumbe mujarabu bila kuescalate ila watu sasa walivyotetemeshwa hahahaaaa
Allah maskini anashindwa kuwasaidia wapalestina anachojua ni kiarabu tu
 
We acha upotishaji unataka kusema waebrania walikufa kwa mkupuo wote wakati mmoja hawakuacha kizazi ,Mungu anamwambia Ibrahimu Taifa la Israel litakuwa na nguvu na huu ni urithi wamilele hivyo Mungu anangalia Ahadi ya Taifa Israel sio anangalia kabila la waebrania kwani wakati wa Yesu hapakuwa na wa yahudi ?hata useme Israel siyo Ile ya kale wapo vizazi vinaendelea ndo hao kina Nyau ,basi Mungu abadili jina la Taifa Israel sababu alokusufua hawapo na vizazi havipo


Babu yako akifa ,na ukoo wako umekwisha siyo tumia kichwa vizuri
 
Iran hawezi rudia ujinga akifanya nilitegemea reaction kubwabaada ya Bibi kupiga Iran Military air base basi Iran angelipaza pa kubwa kama alivyotanabaisha marehemu Raisi ,lakini kinyume chake alijuwa alijaribu kifuatacho ni shida ,maana Bibi kupiga source ya Ulinzi wa nchi inategemea nn, S400 zikachakazwa , hiyo ilikuwa salamu tu Nyau kwa chagua wapi apige kama onyo .
Hata Putin ndo kabisa Hana lolote ,
Huhitaji kuwa na Phd kutambua hilo ubalozi tu ulipigwa watu wakalipiza na missile na madrone 300 sasa ikigundulika ni hivyo unategemea nini ??kama huna think tank jiwekee basi hata think kibakuli ili uweze kuanalyse mambo ya ulimwengu.
 
Mwanya mzuri sana huo ki medani kuutumia
Yawezekana sababu alishindwa kutekeleza Ahadi kwamba Israel wakilipa kisasi baada ya shambulio la Iran dhidi ya Israel basi itakuwamwisho wa Israel ,ni aibu lakini jamaa pengine alikubali nusu Shari kuliko Shari kamili maana aliona Ile madege ya Nyau kimya kimya kitu military air base imewaka akajua kumbe mwamba Nyau si wa mchezo ameingia ikulu kimya kimya pamoja na Ulinzi wa Putin kupigwa upofu isione misille hayo ndo matokeo kushika kende za Nyau
 
I understand how you feel, but what I was saying is, If they intended to assassinate the president they must have had planned before hand, and knowing the seriousness of their action they must have had a good neat and discrete method to not leave any trace of evidence behind which might link to them or even one to have suggest that they are involved in that evil act. I do not do that but I believe there are people who are well trained and they can kill and leave no evidence even for the best forensic expert to not get any evidence to build a case.

The Iranian government or most people believe Israel and the U.S must have played that roll because of the ongoing war, but I still believe it was just an accident like what the Iranian government said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…